Kwa mnaotaka kuja Dubai, huu ni uzi wenu

Kwa mnaotaka kuja Dubai, huu ni uzi wenu

Whatsapp yangu ya Namba yangu ya Dubai umeharibika hivyo napatikana kwa Whatsapp ya namba yangu ya TanzaniA
Hii ni 'Red flag' tayari broo.
Unatangaza biashara (ya tour guide) halafu umeshindwa kurekebisha au kununua namba ya whatsapp?!!!

Ukute upo hapo Tuangoma tu maana siku hizi ujanja mwingi
 
Mkuu kuna baadhi ya kazi tunaangalia muonekano, eg. Huwezi niambia wewe unatembeza wataliii wakati umenyoa Denge afu suruari crazy, unatembea unadunda afu suruali mlegezo...

Lakini kwa muonekano wa brother mimi sioni kama kuna shida,
Ofcoz na sura ni muhimu kuzingatia unapoajiri mtu kwenye kazi ambayo sura ni kipaumbele...
Cassnzoba Gifted Girl sweery Alice_
Nipo kaka nipo
 
Back
Top Bottom