Kwa mnaotaka kuja Dubai, huu ni uzi wenu

Kwa mnaotaka kuja Dubai, huu ni uzi wenu

sio kweli.kwa huyu jamaa.hustle zake zinaonekana na ana nia ya kisaidia watu wakajitafute.hayo mambo ya kupima kina Cha maji kwa kuyaangalia utapotea.anaweza akaja kavaa suti Kali na alafu akawa mpigaji.aje kavaa hata mashuka au kakonda kama Chelewa lakini asiwe mpigaji.
Watu Wana ishi ki mazoea kwa kufake life sasa akitokea mtu ambae yupo really aishi maisha ya kuigiza wanamuona sio wa kawaida...!

Mimi Niko huru kwasababu sihitaji kujificha ili nimuaminishe mtu kuwa I have at the same time I don't have 😂😂😂​
 
Watu Wana ishi ki mazoea kwa kufake life sasa akitokea mtu ambae yupo really aishi maisha ya kuigiza wanamuona sio wa kawaida...!

Mimi Niko huru kwasababu sihitaji kujificha ili nimuaminishe mtu kuwa I have at the same time I don't have 😂😂😂​
HUNA BAYA.endelea na harakati ukizingua tutakwambia ukweli ila kwa Sasa hatuna Cha kukuhukumu.
 
Wengi sana Tena wa kimataifa unaweza kufanya ngono na watu wa mataifa MBALI mbali, WAFILIPINO, Wanaigeria, waghana, watanzania, wachina wazungu...!

Ni wewe na pesa zako tu...Ile sio nchi ya dini ni nchi iliyotengwa kwaajili ya starehe...!​
Asante. Nilidhani wanaongzwa ´na sheria kali za dini. Je, wanakuwa kwenye madunguro yao au wapi? Unakutana nao bar au online? Huwa wana-charge bei gani? Nauliza kwasababu niliwahi kusikia kuwa nchi za huko kununua ngono ni ghali sana na wana charge kwa masaa. Eti lisaa limoja tu unalipa dola 100.
 
Asante. Nilidhani wanaongzwa ´na sheria kali za dini. Je, wanakuwa kwenye madunguro yao au wapi? Unakutana nao bar au online? Huwa wana-charge bei gani? Nauliza kwasababu niliwahi kusikia kuwa nchi za huko kununua ngono ni ghali sana na wana charge kwa masaa. Eti lisaa limoja tu unalipa dola 100.
Inawezekana. Ila Dubai mwanamke anakutongoza mwenyewe 🤣 🤣 🤣 unaweza ukampata mitandaoni, kwenye migahawa ya shisha, barabarani, kwenye mahotel....!

Madangulo yapo ila ni kwa kificho mno...japo sio kiivyo...kwa kifupi huduma za ngono zinapatikana muda wowote ukihitaji ni wewe tu na pesa zako...!​
 
Back
Top Bottom