Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Kila la kheri na mapambano.Shukrani sana walau umenipa moyo...be blessed sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kheri na mapambano.Shukrani sana walau umenipa moyo...be blessed sana
Sijawahi kumuomba mtu aniletee parcels...acha uongo kamanda 🤣 🤣 🤣 🤣Hii picha ni kama nafananisha na jamaa mmoja niliyekutana naye pale dubai airport ule upande wa emirates nikiwa narudi nyumbani ukaniomba nikuletee kipaseli huku bongo.Ila nikagoma.sababu kilikuwa kimeahafungwa tayari so sikujua ndani kilikuwa na nini.
Kama huna pesa sema ila usilete visingizio...!mi mwenyewe picha imenitoa imani ingawa nilikuwa na mzuka wa kutalii dubai
Daah!😂😂🙆♂️Muonekano wako mbona kama unahitaji wa kukushika mkono na wewe mwenyewe huko Dubai, ni kama fursa zimekupitia kushoto.
Boresha muonekano wako kwanza ndio uweke tangazo. Hiyo picha yako imekaa kama wewe mwenyewe ni tatizo kuliko kuwa suluhisho. Ni ngumu mtu kukuamini.
Na siongelei muonekano wa mwili namaanisha ulivyojiweka, unafanana na dalali wa vyumba wa Buza kwalulenge.
ukiwa na metality hiyo kwa ushauri unaopewa hufiki popote. nadhani jamaa hakumaanisha uwembamba wako alivyosema muonekano. yote tis first impression matters a lot. jaribu kusikiliza ushauri uchambue utakusaidia na usijione bora kufika Dubai. labda kwa wasiojua ila nauli ya dubai kuna mda inashuka hadi $200 ambayo nadhani wadau wanaweza wakaimudu.Ndugu yangu Wana wivu tu...pengine tokea azaliwe sehemu nzuri aliyo wahi kutembelea ni dar es salaam na cocobeach🤣🤣🤣
Naomba kuuliza. Hivi Dubai kuna watalii wa ngono? Nina maana kuwa kuna wale watalii wanaoenda sehemu kwa ajili ya kupata vimwana. Au huko kuna sheria kali? Kuna wadada wanaojiuza?Kama huna pesa sema ila usilete visingizio...!
Wanasema don't judge a book by its cover.Muonekano wako mbona kama unahitaji wa kukushika mkono na wewe mwenyewe huko Dubai, ni kama fursa zimekupitia kushoto.
Boresha muonekano wako kwanza ndio uweke tangazo. Hiyo picha yako imekaa kama wewe mwenyewe ni tatizo kuliko kuwa suluhisho. Ni ngumu mtu kukuamini.
Na siongelei muonekano wa mwili namaanisha ulivyojiweka, unafanana na dalali wa vyumba wa Buza kwalulenge.
🤣🤣🤣Muonekano wako mbona kama unahitaji wa kukushika mkono na wewe mwenyewe huko Dubai, ni kama fursa zimekupitia kushoto.
Boresha muonekano wako kwanza ndio uweke tangazo. Hiyo picha yako imekaa kama wewe mwenyewe ni tatizo kuliko kuwa suluhisho. Ni ngumu mtu kukuamini.
Na siongelei muonekano wa mwili namaanisha ulivyojiweka, unafanana na dalali wa vyumba wa Buza kwalulenge.
But sometimes the cover of the book has to be appealing enough to intrigue a person to read it.Wanasema don't judge a book by its cover.
Naomba kuuliza. Hivi Dubai kuna watalii wa ngono? Nina maana kuwa kuna wale watalii wanaoenda sehemu kwa ajili ya kupata vimwana. Au huko kuna sheria kali? Kuna wadada wanaojiuza?
Shukrani sana...!Mhando Mimi nakuelewa sana.unajieleza vizuri
Sawa sijamkataza kuja...🤣🤣🤣ukiwa na metality hiyo kwa ushauri unaopewa hufiki popote. nadhani jamaa hakumaanisha uwembamba wako alivyosema muonekano. yote tis first impression matters a lot. jaribu kusikiliza ushauri uchambue utakusaidia na usijione bora kufika Dubai. labda kwa wasiojua ila nauli ya dubai kuna mda inashuka hadi $200 ambayo nadhani wadau wanaweza wakaimudu.
+255759170794 namba ya Dubai ilizingua kidogo...Mkuu nipo Dubai hapa..
Nimekucheki WhatsApp naona haupo hewani...
Kwa hiyo huko buoa average price bei gani kwa kijana wa uchumi wa kitz?Wengi sana Tena wa kimataifa unaweza kufanya ngono na watu wa mataifa MBALI mbali, WAFILIPINO, Wanaigeria, waghana, watanzania, wachina wazungu...!
Ni wewe na pesa zako tu...Ile sio nchi ya dini ni nchi iliyotengwa kwaajili ya starehe...!
Hao watu wapo.hata huku kwetu wapo wengi tu.usikate tamaa na nia yako nzuri.Shukrani sana...!
Ok dubai zipo guest kama huku kwetu za buku 70per day+255759170794 namba ya Dubai ilizingua kidogo...
sio kweli.kwa huyu jamaa.hustle zake zinaonekana na ana nia ya kisaidia watu wakajitafute.hayo mambo ya kupima kina Cha maji kwa kuyaangalia utapotea.anaweza akaja kavaa suti Kali na alafu akawa mpigaji.aje kavaa hata mashuka au kakonda kama Chelewa lakini asiwe mpigaji.But sometimes the cover of the book has to be appealing enough to intrigue a person to read it.