BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
- Thread starter
- #21
Vichwa kama vipi?? Numbers hazidanganyi mkuu anachofanya Jones ni kitu kizuri ndio maana anafanya vizuriJones ni level za kina Billnass, Yani ni Lunya aliechangamka na Expossure. Usimlinganishe na Vichwa vya Hip hop ya 255.