BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
We talk about Consistency(muendelezo). mkubwa Papaa Jones anawasha moto since day one kiukweli tukiweka uzalendo pembeni kwa bongo hii nani tunaweza kumuamini akabattle na Khaligraph?
Mimi ni mshabiki mkubwa wa Fid q anafanya vizuri kwa upande wake but tukiongelea International Papaa Jones yupo ahead kuliko GOAT wetu wa Hip-hop Tanzania. Sasa nani hapo tumlinganishe na Papaa Jones je ni Young Killer, Young Lunya, Songa, Rapcha, Dizasta au nani?
Mtu anapo kuambia ukweli doesn't mean amekudharau.
Mimi ni mshabiki mkubwa wa Fid q anafanya vizuri kwa upande wake but tukiongelea International Papaa Jones yupo ahead kuliko GOAT wetu wa Hip-hop Tanzania. Sasa nani hapo tumlinganishe na Papaa Jones je ni Young Killer, Young Lunya, Songa, Rapcha, Dizasta au nani?
Mtu anapo kuambia ukweli doesn't mean amekudharau.