Kwa moyo wa dhati kabisa naomba radhi kwa kuikejeli na kuidharau Yanga

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Yanga hongereni kwa kuvuka hatua ya makundi na kufikia robo fainali ya klabu bingwa

Mmethibitisha kweli hakuna kisichowezekana kwenye mpira

Nikiri Yanga niliwakejeli sana walipofungwa goli tatu na CRB kisha kuambulia sare na kuwa wamwisho kwenye kundi, nilikuwa nimewapa asilimia 20% tu za kuvuka,
Kwa mwendo huu wana nafasi kubwa tu ya kupenya hata nusu fainali,
Kazi ipo kwao kumbakisha mchezaji wao, Pacome
 
Tumekusamehe nenda kwa Amani !
 
Kapake bleach kwanza ndo usamehewe
 
Tumekusamehe na tunakwambia kama ridhki ya Pacome ikija basi ataenda, Mayele aliondoka na bado Yanga ipo na leo kala chuma 3 na team yake ya Pyramids na katolewa nje ya mashindano akiwa hana goal hata moja.
 
Tumekusamehe na tunakwambia kama ridhki ya Pacome ikija basi ataenda, Mayele aliondoka na bado Yanga ipo na leo kala chuma 3 na team yake ya Pyramids na katolewa nje ya mashindano akiwa hana goal hata moja.
Duh mkuu mayele anahusikaje hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huo ndio ushabiki. Sio ule ushabiki maandazi wa wengine, na hapa ninamaananisha kutoka pande zote.
 
Tumekusamehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…