Kwa mpira huu wanaocheza Ubelgiji nawashauri wasiende Qatar kuepuka aibu

Belgium my favourite team. Hawa vijana nawaamini sana. Mark this comment bro wataanza kugawa dozi kwenye world cup utashangaa
 
Kiukweli Ubelgiji watu wanaikubali kwa matokeo mazuri,sio kikosi kizuri.
Ukimuambia mtu akupangie kikosi hapa tutakimbiana. Mpaka akagugo. Wachezaji wazee na kutoka ligi mbovu. Wanashindaga kimungu Mungu mechi nyingi.

Ukiacha Hazard na Debruine kuna nani mwingine? Au utasema Kotwaa?
 
Belgium my favourite team. Hawa vijana nawaamini sana. Mark this comment bro wataanza kugawa dozi kwenye world cup utashangaa
Jana wakati naandika hii post hazard na batshuayi walikuwepo uwanjani na walionesha ubovu mwingi. Timu ilichangamka baada na kuingia Doku, Openda na Tielemans. Anyway ngoja tusubirie.
 
Brazil mafanikio Yao makubwa ni kuvuka round yapili kwenda robo, siioni Brazil zaidi ya apo.
Nchi za Amerika ya kusini ndio zililikua zikitoa changamoto kwa nchi za Ulaya katika mashindano ya Dunia ila Kwasasa Ulaya wanashindana wenyewe. Eneo lote la Dunia lililobaki mpira umeporomoka.
 
Mechi ya Ubelgiji na egypt imeisha vipi matokeo??
 
Kikosi kucheza vizuri si lazm kiwe na wachezaji wenye majina
Wana kotwaa trossad witsel bruyne tielemans carasco bila kumsahau mtu mzima mwenyewe lukaku 😆
 
Usisahau hiyo mechi ni kwa ajili tu ya kutest mitambo. Wachezaji wengi watakuwa wanacheza kwa tahadhari kubwa, ili wasije wakapata majeraha dakika za lala salama, na hivyo kukosa kushiriki mashindano ambayo ni ndoto kwa wachezaji wengi.
Nilitaka kumjibu hivyo mleta Uzi. Asante
 
 
Kastanya, tilemons, lukaku, karesko, vitsel, mertens
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…