Tusubiri ligi ianze na iishe tuone mbivu na mbichi za mtoa mada.Kwahiyo unataka kusemaje?
Ubingwa mwingine vpl miaka 7ijayoKwahiyo unataka kusemaje?
Mmefungwa au mmefunga magoli ya offside?Jana simba imecheza mechi ya kirafiki na kutoa sare, kwa mpira ule kocha anakazi ya ziada kukijenga kikosi, tumefungua magoli ya offside alafu mpira tumecheza kama chandimu, nimeamini itatuchukua muda kuyaziba mapengo ya chama na luis
Nb: kama hujaona clip za mchezo ule katizame kwanza ndo uchangie.
[emoji23]Ivi wabongo lini tutabadirika? Huyo chama na konde walikuwepo tokea Simba inaanzishwa na kubeba vikombe mbali mbali ,je hao wachezaj hawazeek unataka kusema wangecheza milele Simba ili iweze kuwa Bora zaidi?
Je unajua club ya Simba inaendeshwaje?
Je ni Nan aliwaleta hao wachezaji?.
Kuna ka ugonjwa ka kuzilalamikia mechi za Simba popote pale inapo cheza.
Timu haikua na utulivu, inshort walikua wanafika ruka tu, kwa sasa simba tunahitaji utulivu sana ili team yetu ipate muunganikoKwahiyo pengo la chama lilikuwa wapi pale?
Mtu umeangalia highlight unaanza kusema kuna pengo.....
Yes, mfano kuwe na pengo unapendekeza nini kifanyike?
povu ruksaIvi wabongo lini tutabadirika? Huyo chama na konde walikuwepo tokea Simba inaanzishwa na kubeba vikombe mbali mbali ,je hao wachezaj hawazeek unataka kusema wangecheza milele Simba ili iweze kuwa Bora zaidi?..
"Hii ni takatakaa" in Raila odinga voiceJana simba imecheza mechi ya kirafiki na kutoa sare, kwa mpira ule kocha anakazi ya ziada kukijenga kikosi, tumefungwa magoli ya offside alafu mpira tumecheza kama chandimu, nimeamini itatuchukua muda kuyaziba mapengo ya chama na luis
Nb: kama hujaona clip za mchezo ule katizame kwanza ndo uchangie.
Umeona full mechi au highlights tu Mkuu?Jana simba imecheza mechi ya kirafiki na kutoa sare, kwa mpira ule kocha anakazi ya ziada kukijenga kikosi, tumefungwa magoli ya offside alafu mpira tumecheza kama chandimu, nimeamini itatuchukua muda kuyaziba mapengo ya chama na luis
Nb: kama hujaona clip za mchezo ule katizame kwanza ndo uchangie.
Clip ya dakika mbili kwako ilitosha kabisa kuona pengo la chama na Luis.Jana simba imecheza mechi ya kirafiki na kutoa sare, kwa mpira ule kocha anakazi ya ziada kukijenga kikosi, tumefungwa magoli ya offside alafu mpira tumecheza kama chandimu, nimeamini itatuchukua muda kuyaziba mapengo ya chama na luis
Nb: kama hujaona clip za mchezo ule katizame kwanza ndo uchangie.
Kama shabiki naamini tutakuwa na mpito ktk team yetuKwahiyo unataka kusemaje?
Ukiangalia kwa umakini utagundua wale wamorocco waliweka highlights zao tuu simba wakaweka magoli tuu maana wao ndio walikua wanamaamuzi nini waweke na nini wasiweke kwenye highlights.Jana simba imecheza mechi ya kirafiki na kutoa sare, kwa mpira ule kocha anakazi ya ziada kukijenga kikosi, tumefungwa magoli ya offside alafu mpira tumecheza kama chandimu, nimeamini itatuchukua muda kuyaziba mapengo ya chama na luis
Nb: kama hujaona clip za mchezo ule katizame kwanza ndo uchangie.
Wewe utakapo badilika wabongo tutabadilikaIvi wabongo lini tutabadirika? Huyo chama na konde walikuwepo tokea Simba inaanzishwa na kubeba vikombe mbali mbali ,je hao wachezaj hawazeek unataka kusema wangecheza milele Simba ili iweze kuwa Bora zaidi?
Je unajua club ya Simba inaendeshwaje?
Je ni Nan aliwaleta hao wachezaji?
Je kabla hawajafika Simba ulikuwa unajua ubora wao kabla?
Je hao wachezaj wapya umeishawapima kwa kifaa gan kuprove kuwa hawana uwezo kuzid chama na konde?
Je huo mpira wa Jana uliangalizia kwenye channel ipi ambayo wengine hatukuiona?
Je clips ndio ikufanye utoe conclusion kuwa walicheza vibaya?
Je ni timu gan mbovu inaweza kufanya comeback huku ikiwa nyuma magoli 2 kipindi Cha kwanza na kusawazisha yote kipindi Cha pili?
Unapata wap ujasiri wa kukosoa timu mapema hivyo wakat ndio kwanza wachezaj walio wengi ni wapya hivyo wanahitaj kujuana zaidi na kwenda na mfumo wa mwalimu kwa pamoja?
Je nikisema wewe ni utopolo ntakuwa nakosea ?
Vipi unaweza kunitajia timu yoyote dunian ambayo haijawah kufungwa Wala kutoa draw?
Why Simba kila Mara?
Je wakukabidhi club ya Simba ikiwa na konde na chama alafu utuhakikishie kuwa timu itakuwa Bora milele yote na kubeba vikombe kinyume na hapo u sign mkataba kuwa timu isipofanya vizur nipigwe shaba ya matako.
Muda ni mwalimu mzuri utatujiby kwa usahihi zaidiClip ya dakika mbili kwako ilitosha kabisa kuona pengo la chama na Luis.
Timu imefanya usajili wachezaji ndiyo mechi yao ya kwanza wewe umeona pengo la chama ?
Tena unakuja kuanzisha uzi kama hamna kazi zingine za kufanya muwe mnaona aibu kupost ujinga.