Kwa mpira wa jana mapengo ya Chama na Miqueson yapo wazi

Kwa mpira wa jana mapengo ya Chama na Miqueson yapo wazi

Jana simba imecheza mechi ya kirafiki na kutoa sare, kwa mpira ule kocha anakazi ya ziada kukijenga kikosi, tumefungwa magoli ya offside alafu mpira tumecheza kama chandimu, nimeamini itatuchukua muda kuyaziba mapengo ya chama na luis

Nb: kama hujaona clip za mchezo ule katizame kwanza ndo uchangie.
Watopolo endeleeni tu kujipa matumaini, ila ligi ikianza hatutaki mayowe yenu.
 
Ila Utopolo ni utindio wa ubongo. Mtu kaona highlights za magoli ila anafanya analysis ya mechi nzima. Bora ungetoa kasoro katika namna ya magoli tuliyofungwa na safu ya ulinzi unaenda kuzungumzia Luis na Chama!
 
Andishi bora kabisa hili,watanzania wengi tunaendeshwa na ushabiki wa kipumbavu utafikiri pindi wakina Chama na Miq wapo Simba haikuwahi kufungwa au ilichukua kikombe cha dunia.Hakuna mchezaji wa kudumu kwenye tm yeyote hapa duniani.
Ivi wabongo lini tutabadirika? Huyo chama na konde walikuwepo tokea Simba inaanzishwa na kubeba vikombe mbali mbali ,je hao wachezaj hawazeek unataka kusema wangecheza milele Simba ili iweze kuwa Bora zaidi?

Je unajua club ya Simba inaendeshwaje?
Je ni Nan aliwaleta hao wachezaji?
Je kabla hawajafika Simba ulikuwa unajua ubora wao kabla?
Je hao wachezaj wapya umeishawapima kwa kifaa gan kuprove kuwa hawana uwezo kuzid chama na konde?

Je huo mpira wa Jana uliangalizia kwenye channel ipi ambayo wengine hatukuiona?
Je clips ndio ikufanye utoe conclusion kuwa walicheza vibaya?
Je ni timu gan mbovu inaweza kufanya comeback huku ikiwa nyuma magoli 2 kipindi Cha kwanza na kusawazisha yote kipindi Cha pili?

Unapata wap ujasiri wa kukosoa timu mapema hivyo wakat ndio kwanza wachezaj walio wengi ni wapya hivyo wanahitaj kujuana zaidi na kwenda na mfumo wa mwalimu kwa pamoja?

Je nikisema wewe ni utopolo ntakuwa nakosea ?

Vipi unaweza kunitajia timu yoyote dunian ambayo haijawah kufungwa Wala kutoa draw?
Why Simba kila Mara?

Je wakukabidhi club ya Simba ikiwa na konde na chama alafu utuhakikishie kuwa timu itakuwa Bora milele yote na kubeba vikombe kinyume na hapo u sign mkataba kuwa timu isipofanya vizur nipigwe shaba ya matako.
 
Nilichogundua waandishi wengi wanapambana ili Simba iwe chini Yanga iwe juu,ndio maana kakitu kadogo kanafanywa kuwa jambo kuuubwa as if Simba imeua.Kwa mfano manara aliacha kazi mwenyewe ila anapewa live coverage kwenye media ili awatukane viongozi wa Simba.
Kuna ka ugonjwa ka kuzilalamikia mechi za Simba popote pale inapo cheza.
Timu iko Morroco inacheza na Wamorroco, marefa ni Wamorroco.
Malalamiko yapo Jangwani.TZ
Maajabu ya Dunia.
 
Ivi wabongo lini tutabadirika? Huyo Chama na Konde walikuwepo tokea Simba inaanzishwa na kubeba vikombe mbali mbali ,je hao wachezaj hawazeek unataka kusema wangecheza milele Simba ili iweze kuwa Bora zaidi?

Je unajua club ya Simba inaendeshwaje?
Je ni Nan aliwaleta hao wachezaji?
Je kabla hawajafika Simba ulikuwa unajua ubora wao kabla?
Je hao wachezaj wapya umeishawapima kwa kifaa gan kuprove kuwa hawana uwezo kuzid chama na konde?

Je huo mpira wa Jana uliangalizia kwenye channel ipi ambayo wengine hatukuiona?
Je clips ndio ikufanye utoe conclusion kuwa walicheza vibaya?
Je ni timu gan mbovu inaweza kufanya comeback huku ikiwa nyuma magoli 2 kipindi Cha kwanza na kusawazisha yote kipindi Cha pili?

Unapata wap ujasiri wa kukosoa timu mapema hivyo wakat ndio kwanza wachezaj walio wengi ni wapya hivyo wanahitaj kujuana zaidi na kwenda na mfumo wa mwalimu kwa pamoja?

Je nikisema wewe ni utopolo ntakuwa nakosea ?

Vipi unaweza kunitajia timu yoyote dunian ambayo haijawah kufungwa Wala kutoa draw?
Why Simba kila Mara?

Je wakukabidhi club ya Simba ikiwa na konde na chama alafu utuhakikishie kuwa timu itakuwa Bora milele yote na kubeba vikombe kinyume na hapo u sign mkataba kuwa timu isipofanya vizur nipigwe shaba ya matako.
Mkuu unapigia mbuzi gitaa. hawa ni wajinga wachache wanaojua wanachokifanya. Usidhani hajui hicho unachosema,laah hasha. Ndio maana mimi nimechagua kuwapa shombo tu.
 
Nilichogundua waandishi wengi wanapambana ili Simba iwe chini Yanga iwe juu,ndio maana kakitu kadogo kanafanywa kuwa jambo kuuubwa as if Simba imeua.Kwa mfano manara aliacha kazi mwenyewe ila anapewa live coverage kwenye media ili awatukane viongozi wa Simba.
Hili linaratibiwa na Azam Media wenyewe wakishirikiana na GSM. Wameweka waandishi na wachambuzi wote kwenye payroll
 
Nilichogundua waandishi wengi wanapambana ili Simba iwe chini Yanga iwe juu,ndio maana kakitu kadogo kanafanywa kuwa jambo kuuubwa as if Simba imeua.Kwa mfano manara aliacha kazi mwenyewe ila anapewa live coverage kwenye media ili awatukane viongozi wa Simba.
GSM amewekeza kwenye propaganda ndiyo maana amenunua wachezaji wa bei poa hela yote anamalizia kuwanunua waandishi na wachambuzi uchwara kutetea uozo wake.
 
Wasichojua wanafikiri wanapambana na viongozi wa Simba, kumbe wanapambana na mashabiki na wanachama ambao ndio wateja wao wakubwa.
Viongozi na technical bench wako tuli wanaweka mikakati. Juzi Mwanaspoti ilitoa tamko la kudai mashabiki wa Simba wanalalamika hawatoi habari za camp ya Simba Sc. Kilichotokea comments zote za fans wa Simba wanaunga mkono media kukatazwa kufika camp.

Screenshot_20210822-113642_Chrome.jpg

Screenshot_20210822-113620_Chrome.jpg

Screenshot_20210822-113605_Chrome.jpg
 
Ivi wabongo lini tutabadirika? Huyo Chama na Konde walikuwepo tokea Simba inaanzishwa na kubeba vikombe mbali mbali ,je hao wachezaj hawazeek unataka kusema wangecheza milele Simba ili iweze kuwa Bora zaidi?

Je unajua club ya Simba inaendeshwaje?
Je ni Nan aliwaleta hao wachezaji?
Je kabla hawajafika Simba ulikuwa unajua ubora wao kabla?
Je hao wachezaj wapya umeishawapima kwa kifaa gan kuprove kuwa hawana uwezo kuzid chama na konde?

Je huo mpira wa Jana uliangalizia kwenye channel ipi ambayo wengine hatukuiona?
Je clips ndio ikufanye utoe conclusion kuwa walicheza vibaya?
Je ni timu gan mbovu inaweza kufanya comeback huku ikiwa nyuma magoli 2 kipindi Cha kwanza na kusawazisha yote kipindi Cha pili?

Unapata wap ujasiri wa kukosoa timu mapema hivyo wakat ndio kwanza wachezaj walio wengi ni wapya hivyo wanahitaj kujuana zaidi na kwenda na mfumo wa mwalimu kwa pamoja?

Je nikisema wewe ni utopolo ntakuwa nakosea ?

Vipi unaweza kunitajia timu yoyote dunian ambayo haijawah kufungwa Wala kutoa draw?
Why Simba kila Mara?

Je wakukabidhi club ya Simba ikiwa na konde na chama alafu utuhakikishie kuwa timu itakuwa Bora milele yote na kubeba vikombe kinyume na hapo u sign mkataba kuwa timu isipofanya vizur nipigwe shaba ya matako.
Hii comment imetoa elimu ya kutosha kwa wote wasioelewa soka kama huyu mleta uzi.
 
Jana simba imecheza mechi ya kirafiki na kutoa sare, kwa mpira ule kocha anakazi ya ziada kukijenga kikosi, tumefungwa magoli ya offside alafu mpira tumecheza kama chandimu, nimeamini itatuchukua muda kuyaziba mapengo ya chama na luis

Nb: kama hujaona clip za mchezo ule katizame kwanza ndo uchangie.
Umeona game channel Gari?
 
Back
Top Bottom