SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Watopolo endeleeni tu kujipa matumaini, ila ligi ikianza hatutaki mayowe yenu.Jana simba imecheza mechi ya kirafiki na kutoa sare, kwa mpira ule kocha anakazi ya ziada kukijenga kikosi, tumefungwa magoli ya offside alafu mpira tumecheza kama chandimu, nimeamini itatuchukua muda kuyaziba mapengo ya chama na luis
Nb: kama hujaona clip za mchezo ule katizame kwanza ndo uchangie.