Kwa mpira wa jana (Taifa Stars VS Tunisia); Kuna haja ya mabadiliko makubwa katika soka letu

Anaharibu mpira ni mbwiga Manara.
 

Hatutakaa tuendelee kimpira mpaka pale tutakapopata TUME HURU YA UCHAGUZI
 
Wewe timu za simba n'a tanga Zina zaidi ya wachezaji WA kigeni 10 kila mmoja unategemea soka Lako likuwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…