Kwa Msimu huu Baleke amethibitisha uwezo wake pamoja na kuja katikati ya msimu

ulianza kumponda Mayele hata haja anza kucheza, same to Azizi K too much negativity
 
Nnavyo fahamu mimi hakuna mkopo wa msimu miwili
 
Nnavyo fahamu mimi hakuna mkopo wa msimu miwili
Kuna short term loan na kuna long term loan

Short term inachukua mawiki kadhaa na ikizidi sana ni miezi sita

Long term loan inaweza kuchukua hadi miaka miwili
 
Kipimo sahihi kwangu Binafsi ni MICHEZO mi nne ijayo.

Yanga.
Azam.
Wydad.
Whydad.

Katika hii MICHEZO akifunga MAGOLI 3 hapo ndipo nitasema ni mshambuliaji mwenye uwezo.

Kwa sasa nisiseme nikamaliza
 
Kipimo sahihi kwangu Binafsi ni MICHEZO mi nne ijayo.

Yanga.
Azam.
Wydad.
Whydad.

Katika hii MICHEZO akifunga MAGOLI 3 hapo ndipo nitasema ni mshambuliaji mwenye uwezo.

Kwa sasa nisiseme nikamaliza
Sawa kwavile ni maoni yako
 
Baleke hatakiwi kubaki timu mbovu kama Mazembe.

Afanye analoweza kuhakikisha anachomoka pale, kama makubaliano ya kimkataba hayaruhusu, kazi kwake.
 
Nnavyo fahamu mimi hakuna mkopo wa msimu miwili
D. Are there any limits regarding how long a player can be on loan?
Yes, the new loan regulations establish a minimum and maximum duration in article 10 paragraph
1 d) of the RSTP as follows:
Minimum duration: the time between two registration periods
Maximum duration: one year
 
Baleke hatakiwi kubaki timu mbovu kama Mazembe.

Afanye analoweza kuhakikisha anachomoka pale, kama makubaliano ya kimkataba hayaruhusu, kazi kwake.
Hivi kumbe CAF super league zinachukuliwa hadi timu mbovu?
 
Nikiwa kama shabiki wa SIMBA 🦁
Ni
Mapema
Sana
Kumsema
BALEKE
Na
Sifa
Kem Kem
Tumpe
Muda
Bado
Mapema
Sana
Wana
Simba
We
Love
BALEKE
Ni
Mapema
Sana
Kumsifia
Kupita
KIASI
Cha
Kumvimbisha bichwa
Tunataka
Consistency
Aendelee
Kutupa
Raha
Mashabiki
Wa
SIMBA
SIMBA GUVU MOYA 🦁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…