Kwa msiojua mmakonde wa chitoholi anasoma QT

Kuna mawaziri walipitia kwenye QT sasa cha ajabu nini...
 
Pole yako mtoto anae Ila siyo kwa mkewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa atapataje mtoto na ww mke wake mdogo ni jike dume huwez beba mimba?
 
Sasa atapataje mtoto na ww mke wake mdogo ni jike dume huwez beba mimba?
 
Hance Mtanashati,
ACHA KUPOTOSHA UMMA... KONDE BOY ANA MTOTO KAFANANA NAE COPY ,, AMEZAA NA MWANAMKE MWINGINE ,, NADHANI MZUNGU HAJAPENDA KUMZALIA AU ANA TATIZO LA UZAZI... BUT KONDE BOY ANA MTOTO HILI LIPO WAZI PIA ALISHAKIRI ANA MTOTO NJE YA MZUNGU WAKE...
 
Kartika maisha yangu naamini kuferi sio kwamba kuferi kwenye masomo
Ni kitu Che was Tani wa chini Sana iwapo tuu yule ane soma anaelewa nini anafanya basi kufauru ni uhakika

Nina amini kufauru ni haki ya kila msoma kwa bidii
Nime pita njia hiyo ndani ya Mika MI 3nika maliza kidato cha Sita na mambo yalikuwa mengi kulingana na changamoto zangu wakati huo

Jamaa Ata tusua iwapo tuu kwel Ana nia na iyo QT yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…