Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujafikia kiwango cha mtoa mada huyu atafute jinsia yake
Ana maisha basi ya kusghulika nayo bwbwa huyu!!
Vipi na wewe nguvu ulizotumia kuzisema nguvu nilizotumia mimi kuulizia nguvu alizotumia yeye?Ni kweli ulichosema, ila ni yale yale tu.. NGUVU ULIZOTUMIA KUMPINGA NAWE UNGEZIWEKA HUKO ULIKOMWAMBIA MWENZIO AZIPELEKE UNGESOGEA...
Una hakika muanzisha mada ni mwanaume? Humu kuna madogo wa 2000's mkuuthread nyingine mpaka naona aibu mimi, mkuu unatufanya wanaume tudharaulike
Mkuu uko sawaNilidhani tunatakiwa kumwombea apate mtoto na afaulu huko QT. Wewe waomwombea afeli kote....ama kweli
Si kila mtu ni bina aa daaam
Leo tutakuwa nae kirumba karbu sanaaNi huyu balozi wa kinywaji cha twist
NZI ni NYUKI mpumbavu.Ila siku we jamaa ukiweza ku focus kwenye mambo yako ukaacha kujipendekeza kwa Diamond utasogea sana kimaisha maana hizi nguvu unazotumia ungeziwekeza kwenye utafutaji ungekuwa mbali sana sasa.