Kwa mtaji huu naweza kwenda China?

Duuu m50 nying sana iyo...mkuu ebu nikopeshe kamilion 3 tu mjini wanifahamau na mm
 
Yi Wu ndio chimbo la dunia kule China ndio kuna kila kitu cha jumla, hata hao wachina wa guang-zhou wanachukua mali huko

Hamna mpare mwezangu yuwi wanasifika kwa kuuza maronyaronya alafu yuwi kuna baadhi ya bidhaa zinapatikana kule Na Guanzhou hakuna so inategemea unanunua nn
Mfano

YUWI

Vifaa vya ujenzi
Urembo
Stationary
Na vitu vidogo vidogo vya wamachinga vipo sana yuwi

GUANGZHOU

Nguo
Electronic kwa sababu shenzhen ni karibu sana na Guanzhou
Ujenzi upo bt high quality foshan
Viatu
Vitu vyote high quality
Guanzhou ndio mji wa biashara china
 
Lakini foshan iko nje kabisa ya guang-zhou.. Na kwa ceramics nakubaliana nawe
Yi Wu ni sehemu ya kutengeneza, guang-zhou ni sehemu ya kuuzia... Hivyo ukifanikiwa kufika Yi Wu unapata vitu bei rahisi kuliko guang-zhou... Na sikweli kuwa Yi wu kuna malonyalonya inategemea umepelekwa wapi kwakuwa hata hiyo Guang-zhou yenyewe kuna wapigaji wengi tu
 
Reactions: SDG
Dah...wanaume huwa hatufuatiliani bana...labda wewe uwe mtu wa kitengo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ana Master Card anaweza kuchukua pesa bank of China bila shaka bila kulazimika kubadili kutoka Tshs-dola- RMB
 
Reactions: SDG
Kama ana Master Card anaweza kuchukua pesa bank of China bila shaka bila kulazimika kubadili kutoka Tshs-dola- RMB
kwa mfano nikiondoka hapa na master card alafu nikifika china ni change tshs kwa RMB, itawezekana?
 
Kwenye ATM unachukua RMB moja kwa moja bosi. Ila sina hakika maximum amount unayoweza kutoa kwa siku.
 
Wanapigwaje?kwa faida yangu na wengine
Unataka kubadili dola kwa mfano sehemu rasmi, mara anatokea mtu anakupa rate ya kuvutia ukikubali umepigwa
Unatoa yuan 100 kwenye tax, dereva anaichukua halafu anakurudishia anakwambia ni feki, kumbe kakubadilishia
Unaenda kwenye chimbo la vitu og anatokea mtu kukushawishi akipeleke kwenye chimbo la bei poa zaidi, ukikubali unaweza hata kujiua
Mifano ni mingi sana
 
Reactions: SDG
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kwani lonyalonya ni nini? Wabongo wengi bidhaa wanazochukua China kuleta Tz ni lonya tu. Iwe electronics,iwe hardware stuff low quality tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…