Naongea ninachokijua nimekaa China na nimefanya biashara sana... Watu wanapigwa sana
Hoja ni hadharani alafu umpeleke pm dah wabongo kazi kweli
Nashukuru kwa taarïfa, ila nasikia mwaka huu itaanza tar 5 feb.Hii ni kweli kabisa. Mkuu hawa jamaa kama wachaga mwezi w 12 kwao. Ila china [emoji630] mwaka mpya wa kichina ni January mambo yanakua sawa mpaka mwezi wa tatu hv.
Ni
Nimeelekezwa na wadau niende guanzhou, nasikia ndio sehemu kuna bidhaa nyingi zinazokubalika kwenye soko letu, Nina idea kama nne, ya kwanza ni elecronics vitu kama ear phone, memory card, charger, fm radio , saa na nk,,ya pili chupi za kike, leso, boxer na sox, ya tatu ni vinguo vya watoto wachanga, ya nne toys za kufundishia, nisaidie kwa hayo mdau.
Pesa inatosha kununua air ticket na kununua mzigo. Tatizo litakuwa kwenye how to make profit. Sababu exchange rate in mbaya mno. Labda jaribu kuilizia namna ya kutumia visa card ili ukiwa China utoe pesa kwenye bank badala ya kuchange pesa from Tsh to USD kisha USD to Yuan.
Wadau, Kuna mtu amenïjulisha kuwa ikifika mwezi wa kwanza china huwa hakuna biashara mpaka mwezi wa pili kwani kwao huo ni mwezi wa mapumziko, je ni kweli?
Ndugu mbona kuna watu wanakwenda na mitaji midogo China wanafunga mizigo yao na wanarud?Tena husafirisha kwa ndege wala sio kwa meli, why useme mil 50 ndogo?Mim naona hii pesa n nying kuchukulia bidhaa but n ndogo ukijumlisha gharama za usafirishaji kutoka huko China na Kodi zetu hapa Bongo kwan sio rafik sana kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo.
USHAURI WANGU:-
Kaa fanya utafiti wa gharama za bidhaa unazoenda nunua,gharama za usafirishaji na kodi and then faida utakayoipata baada ya kuuza bidhaa yote na hapo fanya maamuz sahihi.
Kuwa na mil 50 ni jambo moja na kujua tips za china jambo la pili..........