Kwa mtaji wa million 1 nifanye biashara gani?

Kwa mtaji wa million 1 nifanye biashara gani?

Sisa Og

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2024
Posts
201
Reaction score
504
Habari zenu wana JF? Matumaini yangu hamjambo Kabisa.

Mimi naomba ushauri wenu. Nina mtaji wa millioni moja. Nipo Dar es Salaam. Ni biashara gani inafaa kwa mtaji huo.

Kichwani, nilikuwa nawaza kufungua movie library mtaani ila nikasema ngoja nisikie mawazo ya wengine.

Asanteni, nishaurini chochote ntazingatia.

Siku njema.
 
Habari zenu wana JF? Matumaini yangu hamjambo Kabisa.

Mimi naomba ushauri wenu. Nina mtaji wa millioni moja. Nipo Dar es Salaam. Ni biashara gani inafaa kwa mtaji huo.

Kichwani, nilikuwa nawaza kufungua movie library mtaani ila nikasema ngoja nisikie mawazo ya wengine.

Asanteni, nishaurini chochote ntazingatia.

Siku njema.
Chukua mia7 au 8 chukua roba za.mtumba nne au tano za viatu za kufungua mwenywewe, rudi nao magetoni uoshe uwe safi kabisa, kama kuna kiatu kina demage tafuta gundi au supa glue ziba, kama ni cha kushona shona.

Ukimaliza ndugu yangu nunua taa yako then kajichanganye kwenye yale masoko ya usiku, kuanzia saa 12 mpaka saa tatu mwaga mzigo wako chini, hakuna kodi hakuna tozo hakuna mgambo utakuja kunishukuru.
 
Nitumie hiyo hela niwe nakutumia mchele toka shinyanga maana huku kilo wanauza tsh 1300 sijui huko dar yenu ila naamini uko juu sana.
 
fungua kibanda cha mboga mboga_dagaa, furu,vituguu,nyanya,mafuta ya kula,maharage,mchele> ila sijui huko uliko kama mazingira yanaruhusu ungekuwa mkoani huku hiyo biashara ni mkombozi pia inafaida mno na hiyo pesa mkoani huku ni ndefu maana hatuna matumizi mengi ya kimaisha yaani frem tunakodi kwa elfu 5 kwa mwezi harafu mahitaji ya mboga ni makubwa sana me nipo shinyanga.
 
fungua kibanda cha mboga mboga_dagaa, furu,vituguu,nyanya,mafuta ya kula,maharage,mchele> ila sijui huko uliko kama mazingira yanaruhusu ungekuwa mkoani huku hiyo biashara ni mkombozi pia inafaida mno na hiyo pesa mkoani huku ni ndefu maana hatuna matumizi mengi ya kimaisha yaani frem tunakodi kwa elfu 5 kwa mwezi harafu mahitaji ya mboga ni makubwa sana me nipo shinyanga.
Asante kwa wazo
 
Mekj
Chukua mia7 au 8 chukua roba za.mtumba nne au tano za viatu za kufungua mwenywewe, rudi nao magetoni uoshe uwe safi kabisa, kama kuna kiatu kina demage tafuta gundi au supa glue ziba, kama ni cha kushona shona.

Ukimaliza ndugu yangu nunua taa yako then kajichanganye kwenye yale masoko ya usiku, kuanzia saa 12 mpaka saa tatu mwaga mzigo wako chini, hakuna kodi hakuna tozo hakuna mgambo utakuja kunishukuru.
Mekupata kiongozi. Asante sana
 
Habari zenu wana JF? Matumaini yangu hamjambo Kabisa.

Mimi naomba ushauri wenu. Nina mtaji wa millioni moja. Nipo Dar es Salaam. Ni biashara gani inafaa kwa mtaji huo.

Kichwani, nilikuwa nawaza kufungua movie library mtaani ila nikasema ngoja nisikie mawazo ya wengine.

Asanteni, nishaurini chochote ntazingatia.

Siku njema.
Kama unahitaji kufanikiwa kwa haraka kwakutengeneza faida kubwa ukiwa kama mjasiriamali mdogo jikite katika biashara za kutatua changamoto za watu tunaziita biashara za kitalaam (Expert Business)

Aina ya biashara hizi hazihitaji mtaji mkubwa wa pesa badala yake mtaji wake mkubwa ni suluhisho unalomiliki lenye kubeba majibu ya changamoto zinazo wasumbua watu

Mfano biashara nnayofanya mimi mtaji wake sio zaidi ya Tsh.100,000 lakini naweza kutengeneza faida Tsh.350,000 na zaidi kwa wiki tu

Lakini pia ili kufanya biashara hizi hauna ulazima wa kuwa na frem/physical office

Badala yake utatumia simu yako kama ofisi kwakuendesha biashara yako mtandaoni

Mfano unaweza kuwa una ujuzi wowote wa kiufundi mfano fundi ujenzi au mbunifu wa majengo

Hapo tayari unaweza kuanzisha biashara ya kitaalam ya kuwasaidia watu kuanza ujenzi kwa gharama ndogo na wakakulipa kama mtaalam

Majumbani watu wanasumbuka na uchafu sugu chooni,bafuni,jikoni n.k usiowezekana kutoka kwanjia za kawaida

Unaweza kujikita katika biashara ya kutengeneza dawa za usafi ambapo ukawa unatoa na huduma za usafi kwakusafisha sehemu zote zenye uchafu sugu

Kufanya usafi ukipewa tenda ya nyumba nzima unaweza kutengeneza kati ya Tsh.50,000 mpaka Tsh.250,000 huku mtaji wako utakao tumia ni kati ya Tsh.10,000 mpaka Tsh.30,000 kutokana na ukubwa wa kazi.

Hizo ni baadhi tu skills za Expert Business unazoweza kufanya na kujitengenezea kipato kikubwa

Unaweza kujiuliza wateja unapata wapi? Very simple utatumia simu yako kutangaza huduma zako mtandaoni na kujitengenezea soko kubwa mtandaoni

Yapo masoko mengi unayoweza kufanya mtandaoni ukiwa kama mtaalam na kutengeneza pesa nyingi ukiwa nyumbani kwako

Niko tayari kukusaidia mafunzo na muongozo ili uweze kutoka kiuchumi naamini utarudi hapa na mrejesho mzuri

Mafunzo ntakupatia bure mpaka pale utakapo weza kusimama mwenyewe nitafute WhatsApp kwa namba hii 0765949465.
 
Nitumie hiyo hela niwe nakutumia mchele toka shinyanga maana huku kilo wanauza tsh 1300 sijui huko dar yenu ila naamini uko juu sana.
Mchele wa huko huku dar unaweza kosa soko, kulingana na ubora wa mchele wa mbeya
 
Back
Top Bottom