Habari zenu wana JF? Matumaini yangu hamjambo Kabisa.
Mimi naomba ushauri wenu. Nina mtaji wa millioni moja. Nipo Dar es Salaam. Ni biashara gani inafaa kwa mtaji huo.
Kichwani, nilikuwa nawaza kufungua movie library mtaani ila nikasema ngoja nisikie mawazo ya wengine.
Asanteni, nishaurini chochote ntazingatia.
Siku njema.
Kama unahitaji kufanikiwa kwa haraka kwakutengeneza faida kubwa ukiwa kama mjasiriamali mdogo jikite katika biashara za kutatua changamoto za watu tunaziita biashara za kitalaam (Expert Business)
Aina ya biashara hizi hazihitaji mtaji mkubwa wa pesa badala yake mtaji wake mkubwa ni suluhisho unalomiliki lenye kubeba majibu ya changamoto zinazo wasumbua watu
Mfano biashara nnayofanya mimi mtaji wake sio zaidi ya Tsh.100,000 lakini naweza kutengeneza faida Tsh.350,000 na zaidi kwa wiki tu
Lakini pia ili kufanya biashara hizi hauna ulazima wa kuwa na frem/physical office
Badala yake utatumia simu yako kama ofisi kwakuendesha biashara yako mtandaoni
Mfano unaweza kuwa una ujuzi wowote wa kiufundi mfano fundi ujenzi au mbunifu wa majengo
Hapo tayari unaweza kuanzisha biashara ya kitaalam ya kuwasaidia watu kuanza ujenzi kwa gharama ndogo na wakakulipa kama mtaalam
Majumbani watu wanasumbuka na uchafu sugu chooni,bafuni,jikoni n.k usiowezekana kutoka kwanjia za kawaida
Unaweza kujikita katika biashara ya kutengeneza dawa za usafi ambapo ukawa unatoa na huduma za usafi kwakusafisha sehemu zote zenye uchafu sugu
Kufanya usafi ukipewa tenda ya nyumba nzima unaweza kutengeneza kati ya Tsh.50,000 mpaka Tsh.250,000 huku mtaji wako utakao tumia ni kati ya Tsh.10,000 mpaka Tsh.30,000 kutokana na ukubwa wa kazi.
Hizo ni baadhi tu skills za Expert Business unazoweza kufanya na kujitengenezea kipato kikubwa
Unaweza kujiuliza wateja unapata wapi? Very simple utatumia simu yako kutangaza huduma zako mtandaoni na kujitengenezea soko kubwa mtandaoni
Yapo masoko mengi unayoweza kufanya mtandaoni ukiwa kama mtaalam na kutengeneza pesa nyingi ukiwa nyumbani kwako
Niko tayari kukusaidia mafunzo na muongozo ili uweze kutoka kiuchumi naamini utarudi hapa na mrejesho mzuri
Mafunzo ntakupatia bure mpaka pale utakapo weza kusimama mwenyewe nitafute WhatsApp kwa namba hii 0765949465.