Kwa mtaji wa Tsh. 400,000/- naweza fanya biashara gani?

Naipenda sana biashara ya nguo na viatu, tatizo sizielewi bado zipi kali kwamba nayochukua ni nzuri kuliko nayoacha
 
Mimi ni mjasiliamali nimepita kwenye biashara nyingi sana najua faida na hasara hivyo basi mwenye dukuduku kuhusu pembejeo za kilimo na mifugo,Uchomaji wa kuku,Biashara za matunda n.k anicheki tutashilikiana kimawazo kwa pamoja tunaweza
 
tafadhali nipe bei ya dagaa debe wale dagaa wasio na mchanga
 
Mkuu shukrani sana maana hii biashara ya nguo za mtumba za kike nataka niianze pia pesa sio shida shida ni mda tu maana ni muajiriwa. ukiachana na ilala boma Chimbo gani linakuwaga na nguo za kuchagua kwa bei hiyo?? vp karume muda huo vipi?
karume ndio mambo yote kwa mtumba tz
 
Hizi khaki ni zile vijana wetu wanajaladia madaftari ama kuna zinapouzwa spesheli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…