Pre GE2025 Kwa mtazamo wako CHADEMA chini ya uongozi mpya imeparalyse au imepoteza dira na uelekeo?

Pre GE2025 Kwa mtazamo wako CHADEMA chini ya uongozi mpya imeparalyse au imepoteza dira na uelekeo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Au agenda iliyopo sasa ni kuwatembelea viongozi wastaafu tu?

Maana kazi kubwa mpaka sasa ambayo inafanyika ni ile ambayo wataalamu na wachambuzi wengi wa siasa za vyama vya siasa Tanzania walitarajia, kazi ya kuwavua uanachama, kuwaengua kwa fedheha viongozi watendaji wa chadema waliokua chini ya uongozi wa mwenyekiti wa zamani, jambo ambalo linazidisha na kuendeleza uhasama, chuki na migawanyiko zaidi miongoni mwa wanachadema wa kambi zilizokua zinawania uongozi wa chadema kitaifa.

Matarijio mengine ambayo wabobevu wa siasa za Tanzania waliangazia kuyaoni yakichochewa na kusababishwa na uongozi mpya wa chadema, ni pamoja na baadhi ya viongozi mbalimbali wa chadema kujiengua kwa hiyari zao na kujiunga na vyama vingine kukwepa siasa za fujo zilizokosa ustaarabu, maandamano, migomo, matamko na press conference zisizo na tija, vitu ambavyo vimewekwa kama vipaumbele muhimu vya uongozi mpya wa chadema.

Kipaumbele cha chadema kwa sasa ni kuwaengua uanachama wanachama wake hasa wale waliokua wanamuunga mkono kiongozi wa zamani wa chadema taifa kwa chuki na hila hila binafsi, kuwasimamisha na kufukuza uanachama wale wote wenye mawazo tofauti na ile ya mwenyekiti halafu kwenye media wanadaini ni uhuru wa kutoa maoni.

Nini mtazamo wako kama mdau wa demokrasia za vyama vya siasa nchini? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Mjinga mwenye bunduki akimwambia mwelevu ruka kichura chura na akaruka humzalau sana asijue anatafutiwa gia na kuzubaishwa akatwe kende
 
Naona MNADEMKA tu na mirindimo kutoka Ikungi.

images (1).jpeg
 
Au agenda iliyopo sasa ni kuwatembelea viongozi wastaafu tu?

Maana kazi kubwa mpaka sasa ambayo inafanyika ni ile ambayo wataalamu na wachambuzi wengi wa siasa za vyama vya siasa Tanzania walitarajia, kazi ya kuwavua uanachama, kuwaengua kwa fedheha viongozi watendaji wa chadema waliokua chini ya uongozi wa mwenyekiti wa zamani, jambo ambalo linazidisha na kuendeleza uhasama, chuki na migawanyiko zaidi miongoni mwa wanachadema wa kambi zilizokua zinawania uongozi wa chadema kitaifa.

Matarijio mengine ambayo wabobevu wa siasa za Tanzania waliangazia kuyaoni yakichochewa na kusababishwa na uongozi mpya wa chadema, ni pamoja na baadhi ya viongozi mbalimbali wa chadema kujiengua kwa hiyari zao na kujiunga na vyama vingine kukwepa siasa za fujo zilizokosa ustaarabu, maandamano, migomo, matamko na press conference zisizo na tija, vitu ambavyo vimewekwa kama vipaumbele muhimu vya uongozi mpya wa chadema.

Kipaumbele cha chadema kwa sasa ni kuwaengua uanachama wanachama wake hasa wale waliokua wanamuunga mkono kiongozi wa zamani wa chadema taifa kwa chuki na hila hila binafsi, kuwasimamisha na kufukuza uanachama wale wote wenye mawazo tofauti na ile ya mwenyekiti halafu kwenye media wanadaini ni uhuru wa kutoa maoni.

Nini mtazamo wako kama mdau wa demokrasia za vyama vya siasa nchini? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Lissu kaifanya kitu mbaya sana ccm.. Yaani mpaka sasa hawaamini kilichotokea
 
Mjinga mwenye bunduki akimwambia mwelevu ruka kichura chura na akaruka humzalau sana asijue anatafutiwa gia na kuzubaishwa akatwe kende
kipaumbele ni kuwavua uanachama wanachadema au?
na mbona hakusema hivyo wakati wa kampeni?

ni kuparalyse au kukosa uelekeo gentleman, ukiachilia mabali mabunduki yako? :BASED:
 
Angalia viuno vinavyobinuka hapo kuna wasirwa, jokatwe, kawaida na kamati zao zote waziitazo za utekelezaji.
gentleman,
yaani uongozi mpya wa chadema umepoteza dira na uelekeo wewe unang'anga'na na viuno tu,

huko si ndio kua confused kabisa dah :pedroP:
 
hana haja ya kua konfused gentleman wakati uongozi mpy ukiwa umeparalyse na kupoteza uelekeo kabisa,

zingatia maelezo bila kujifariji kusikokupa ahueni :NoGodNo:
Wewe ni yupi kati ya hao wanaokata viuno?!
 
Anawachezesha anavyotaka.. Nao wanafuata mirindimo yake bila kutaka🤣🤣😃
mzee warioba juzi kamwambia kibaraka aende siku nyingine, juzi alimlazimisha na kumshtukiza na kwahiyo mzee hana kitu cha kumshauri,

nadhani kiongozi mpya wa chadema akachanganyikiwa zaidi, haelewi hata aanzie wapi:pedroP:
 
Lissu kaifanya kitu mbaya sana ccm.. Yaani mpaka sasa hawaamini kilichotokea
wengine hawaamini ushirikina gentlema,

a newly elected chadema chairman amelost directions completely:pedroP:
 
CCM wamevunja Katiba Yao hawawezi kuheshimu Katiba ya Tanzania.
uongozi mpya wa chadema umeparalye au umepoteza dira na uelekeo kwa maoni yako?

ya vyama vingine tutayazungumza kwa wakati muafaka gentleman? :pedroP:
 
Back
Top Bottom