Pre GE2025 Kwa mtazamo wako CHADEMA chini ya uongozi mpya imeparalyse au imepoteza dira na uelekeo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
relax gentleman,
I told you before ikiwa huna mawazo mapya na fikra mbadala na bora zaidi ya hoja iliyotolewa mezani,

Inapendeza ukikaa kimya tu gentleman πŸ’
There's no way you can silence me, ukileta hoja kaa kimya na utulie. Usitake kusoma mawazo unayopenda kusikia. Unajiita senior political analyst halafu hutaki tuandike negatives zako.

Wewe endelea kumsifu SASHA, ndio analysis unayoweza!
 
Nchi nyingi duniani zinatumia mtindo wa kumfanyia tathmini Kiongozi baada ya siku mia Moja ofisini. Ngoja tumsubirie tuje tumuumbue vizuri.
 
There's no way you can silence me, ukileta hoja kaa kimya na utulie. Usitake kusoma mawazo unayopenda kusikia. Unajiita senior political analyst halafu hutaki tuandike negatives zako.

Wewe endelea kumsifu SASHA, ndio analysis unayoweza!
calm down then gentleman πŸ’
 
kipaumbele ni kuwavua uanachama wanachadema au?
na mbona hakusema hivyo wakati wa kampeni?

ni kuparalyse au kukosa uelekeo gentleman, ukiachilia mabali mabunduki yako?
Chadema ina safari ndefu kurudi pale pa 2015.
Kwanza hawana umoja just kila kikundi na kwake.
Pili kuna easy come eazy go wakutafuta kula bila kunawa.
Tatu kuna akina pangu pakavu tia mchuzi wao ni kulalamika bila kutatua.
Kwa mtaji huu Chadema itatoboa? NADA,unless wanakuja na hoja ya upendo na kuvumiliana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…