Kwa mtazamo wako unadhani huyu mtoto alikuwa anawaza nini wakati akimtazama huyo bibi

Kwa mtazamo wako unadhani huyu mtoto alikuwa anawaza nini wakati akimtazama huyo bibi

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
20240805_194727.jpg
 
Anaona kinachoongelewa na kilichopo tofauti, vitoto vya siku hizi vijanja sana.
Lakini yote Tisa, Hali za watu Kwa ujumla si nzuri, angalia hiyo picha hapo hao watu walivyochoka yaani sura zao unaziona kuwa zinalazimisha tabasamu.
 
Muhimu furaha tu, haidhuru ni pito la namna gani mtu anapita ila ikiwepo tabasamu kwenye uso wake ni kiashiria bado yupo na furaha ndani mwake ambayo ndio ujumla wa maana nzima ya maisha.
 
Anashangaa Hali Ya Bibi Kuishangilia CCM Ambayo Imechoka Haiwajari
 
Muhimu furaha tu, haidhuru ni pito la namna gani mtu anapita ila ikiwepo tabasamu kwenye uso wake ni kiashiria bado yupo na furaha ndani mwake ambayo ndio ujumla wa maana nzima ya maisha.
Umeona kweli kuna tabasamu usoni kwa huyo mtoto?
 
Back
Top Bottom