ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Hesabu ndo maisha.
ya kwako hiyo
solution ya tatizo la uhaba wa walimu si kufuta somo na hasa kama somo lenyewe ni hesabu. somo la hesabu ni la lazima ktk makuzi ya akili na ufahamu. karibu tutakuwa vilaza wa dunia tukiwaza kufuta hesabu ktk dunia ya leo ya maendeleo ya sayansi na teknolojia. tunahitaji walimu zaidi na tunahitaji walimu weledi na bora wanaojua kuwaelekeza vijana.
Kwa sasa hesabu au math ni somo la lazima sasa kwa uhaba huu wa walimu shule nyimgi za kata hazina walimu si hesabu tuu hata masomo mengine ya sayansi. Kwa hali hii kwangu mimi sioni sababu ya serikari kuendelea na kusema hesabu ni compulsory ilihali somo hilo kwa shule nyingi halifundishwi ipasavyo hapa nchini. Nadhani serikari ingelifikilia jambo hili ni kama kuwaumiza wale ambao hawasomi kwa kukosa walimu.
Wewe ni ngwini