ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Kwa sasa hesabu au math ni somo la lazima sasa kwa uhaba huu wa walimu shule nyimgi za kata hazina walimu si hesabu tuu hata masomo mengine ya sayansi. Kwa hali hii kwangu mimi sioni sababu ya serikari kuendelea na kusema hesabu ni compulsory ilihali somo hilo kwa shule nyingi halifundishwi ipasavyo hapa nchini. Nadhani serikari ingelifikilia jambo hili ni kama kuwaumiza wale ambao hawasomi kwa kukosa walimu.