Pre GE2025 Kwa mtazamo wangu Mbowe na Lissu ni vita zaidi ya nje kuliko ya ndani. Ni mwendelezo wa Zitto na Maria Sarungi

Pre GE2025 Kwa mtazamo wangu Mbowe na Lissu ni vita zaidi ya nje kuliko ya ndani. Ni mwendelezo wa Zitto na Maria Sarungi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii Nchi iko Stable?! Wakati Watu wanatekwa na kuuwawa na wengine kuikimbia Nchi stability gani hiyo?.

Na kama Uchaguzi wa ndani CHADEMA hautakuwa HURU na HAKI ukigubikwa na RUSHWA au UKABILA basi namshauri Lissu afungue Chama tutamfuata.
Mbona umeanza kutupa taulo nyeupe mapema. LISU hawi Mwenyekiti wa Chadema kama Mwenyekiti Mbowe atagombea.Akigombea Lisu is cooked.
Komaa kamanda huu ndio uhalisia
 
Mbona umeanza kutupa taulo nyeupe mapema. LISU hawi Mwenyekiti wa Chadema kama Mwenyekiti Mbowe atagombea.Akigombea Lisu is cooked.
Komaa kamanda hii ndio uhalisia
RUSHWA za huyu Mama zimeshaingia CHADEMA ndo maana tunamtaka Lissu akifanyie Reforms Chama ikiwemo kuweka ukomo wa uongozi nk.

Halafu ndio tuanze kudili na huyu Mama mpaka tupate KATIBA BORA.
 
Chief hata Kwahiyo confrontation na radicalism, CHADEMA hawajawahi kuifanya? Je Maria Sarungi amewahi kuonekana in an any of those incidents? In fact mara nyingi alikuwa akipinga na kuwaita chama cha maandamano. Ukitazama mwenendo wa yote, ni kama uivyoeleza. Maria ni ‘set up’ activist. Unfortunately, kwasababu ya CHADEMA kukosa institutions za kuwapa livelihood vijana wadogo wanaojoin politics, this has been the loophole.
 
Mbowe hakwamishi chadema ila ni mtu asiyependa siasa zenye kuleta fujo zisizo na sababu. Mbowe anapenda diplomasia katika kuleta maelewano mf maridhiano na serikali ya CCM ingawa CCM hawataki maridhiano.Pia je, wewe unayetaka Chadema kusonga mbele Kwa kusababisha maandamano yenye kusababisha nguvu za Dola kutumia silaha unapata faida Gani? Watanzania wenye mapenzi mema hasa vyama vya siasa vya upinzani wenye mapenzi mema mnapaswa kuunganisha nguvu ya pamoja kudai KATIBA MPYA, na TUME HURU YA UCHAGUZI maana ndiyo msingi wa mambo yote. Chaguzi za ndani katika vyama Kwa nini ziwe mtego wa kuleta utengano wa viongozi wenye nguvu kama Mbowe na Lisu? Wanasiasa wa Tanzania, angalieni yasijirudie Yale mambo ya Dr Slaa na Hayati Lowasa ya 2015. Malumbano yasiyo natija.Angalieni sana.Unganeni Kwa sasa kudai mambo ya msingi kabla ya UCHAGUZI ujao.

Siasa za diplomasia ya Mbowe zimetufikisha wapi mpaka sasa?

Hao wanachadema wanaotekwa na kupotezwa je siasa za Mbowe mbona hazikuwasaidia?
 
Chagua kuandika kwa lugha moja ili ueleweke.
Si kweli TAL anaungwa mkono na wasio itakia mema CHADEMA.

Ushahidi ni hapa JF wale chawa wote wa CCM wanampigia kampeni Mbowe na kumbagaza Lissu.
Hii U turn gani imekujaje ghafla hivi?
Jibu n hili Mbowe anaungwa mkono na CCM Kwa sababu ya mapendano na mafungamano ya wazi wazi bila kificho aliyonayo Kwa CCM.
Kwangu Mbowe ndiye anayetumika kuwakwamisha CHADEMA kusonga mbele maana yupo hapo kutetea maslahi binafsi ya SACCOS yake.
Something smells fishy.
Unachosema hapa ni generally kauli za akina Dr Slaa na timu nyingine ambazo ni wahanga wa michakato ya kisiasa ndani ya CHADEMA au wanaharakati “pandikizi” na mslahi kama akina Maria Sarungi. Hebu toa ushahidi mmoja tu kwamba CHADEMA with all its institutional buildup enough to shake CCM hadi kukifanya kiogope sanduku la kura kabisa ni saccos. Hivi kama kweli una mapenzi na siasa za upinzani na umeshuhudia institutional strengthening ya CHADEMA over the years, unaweza bado kukiita ni SACCOS?
 
Uzi mzur sana .

Tofaut ya TAL na ZZK ni kubwa kuliko unavyoweza kufikiri

ZZK alikuwa na back up ya deepstate, lakini zaid alikuwa ameshaandaa chama..

TL hana uwezo, narudia hana uwezo wa ku run any significant political party so far
SyW imejaa wanaharakati na watu wanaodhani siasa ni harakati na kufokea watawala muda wote...

Hoja zao zimejengwa kwenye msingi wa chuki, majungu na fitina dhidi ya Mbowe.

Hao kina Mwabukusi, Slaa, Lissu, Libe, Mwakitwange, ni loosers.,

Hawana back up tofaut na Mbowe..

Mbowe asipopenda TL awe Chairman hawi.. hata afanyeje..

Back up ya hilo kundi pia yupo Heche na Lema Godbless.... Hawa nadhan ni zaid ya tunachokiona...

Mbowe ana memba wengi sana KK lakini Strategically aligned to Deep state..

Hoja zao za Jasho na Damu lengo lake ni hate politics... Kufanarakanisha na kudai siasa za confrontation.....


Kwa hakika baada ya Uchaguzi CDM haitabaki moja.. lakini agenda za TAL ni evil... Hata akishinda ataendeleza majungu na kukiua hiki chama, aidha amsingizie mwenyekiti mambo mengi maovu kwamba he did this and that for the past 20years alaf akimbie.

Kumbuka TL yupo Tanzania nusu nusu, familia yake yote ipo nje na watoto ni iraia wa US.. hili pekee linatosha kuonyesha namna analipa fadhila kwa 'baadhi' ya diaspora na hao loyal partnes wake.

Hao hao 'baadhi' ya Diaspora kuna kipindi walianzisha bla bla dhidi ya JF, Max akawapiga chini ..., wakaamua kukomaa na Clubhouse na Magrouo ya Whatsap.

Its a virus within the body, Mbowe awe smart, eitha akiondoe au aish nacho kwa mkakati huku akikitengenezea dawa...dawa zipo nyingi sana sana.....

nonsense
 
Hakuna mahali nimesoma iko stable…read me. Ninachosema, akina Maria Sarungi and co. they wish setbacks katika opposition build up ku maintain hali ilivyo. Instability na chaos idumu , maana inampa mkate na maslahi. Kilipofikia sasa CHADEMA ni stable enough kukifanya CCM kiogope uchaguzi kabisa. Kazi hiyo si ndogo. Focus ni kuvuka hapo
Hii Nchi iko Stable?! Wakati Watu wanatekwa na kuuwawa na wengine kuikimbia Nchi stability gani hiyo?.

Na kama Uchaguzi wa ndani CHADEMA hautakuwa HURU na HAKI ukigubikwa na RUSHWA au UKABILA basi namshauri Lissu afungue Chama tutamfuata.
a
 
Dw. Fortilo umeandika point za maana sana.Ni lazima Lissu aelewe kuwa Bila Mbowe kutaka au kuridhia , hawezi kuwa mwenyekiti wa CHADEMA hata azikiri uchiiii ! Mbowe is a king maker !
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Wewe unaetaka reforms CHADEMA kwani wee nani huko CHADEMA ?? Mbona hutaki reforms CCM na kule bungeni ??
 
Miaka ya 2010 wakati Zitto Zuberi Kabwe, Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba wanaanza kujenga “picha ya kundi ndani ya Chadema” kwa lengo la kuchukua kiti cha Freeman Mbowe (FAM) CHADEMA, mambo kadhaa yalikuwa dhahiri na yanaweza kulinganishwa kwa kiwango kikubwa kwa mizania na mlinganisho na hali ya sasa.

Mosi; Jina la Maria Sarungi liko katikati. Alikuwa karibu sana na kundi hili na ukaribu wake ulikuwa wenye mrengo wa kuunga mkono hoja zao hususan zile zenye mashambulizi na kukibagaza CHADEMA. Leo ukaribu huo haupo kama tu ilivyokuwa kwa watu wengine kama Maxience Melo, Eric Kabendera nk. Kazi iliisha, maslahi yameisha.

Sasa Maria ni mkaribu wa Lissu (TAL) ingawa anajitahidi kuonesha na kushawishi ukaribu na FAM, lakini historia inaonyesha tofauti kubwa. Aidha, kupitia space yake alijenga “informal contact” na viongozi wengi wa CHADEMA. Alitumia “lack of political space” na “fear of lack of political visibility”. It was sort of informal institution ambayo nashangaa CDM seniors went in full with exception ya FAM na JJM

Pili; Zitto Kabwe (ZZK) alikuwa amejenga umaarufu mkubwa ndani na nje ya chama chake. Akiamini kwamba haukutokana na chama chake. Umaarufu wake kwa kuwa ulienda sambamba na kukibagaza CHADEMA ulipata hata uungaji mkono wa wabaya wa CHADEMA na wana CCM kupitia kumwona kama instrument. Ilikuwa fursa kukigawa. Pambio zilichochewa kwelikweli kumwonesha ni wa pekee.

TAL naye hali ni hiyohiyo kwa sasa. Pambio ni kama zilezile za ZZK. Kumjenga kipekee. Tofauti ni moja tu, CCM hawamwoni kama instrument, ila wabaya wa CHADEMA wanamuunga mkono. Hawa hawataki kuona CHADEMA ikiwa thabiti. Wanataka kuona hali ya nchi ikiwa unstable, wadumishe status quo maana inawapa benefits. Ni ambao kwa muda wote ni wakosoaji na wabagazaji wa CHADEMA. Si wanachama wa CHADEMA.

TAL anapitishwa katikati yao na kwa wanachama wa CHADEMA ambao kwa kuwaangalia ni majeruhi wa michakato ya kisiasa ndani ya CHADEMA au kwa muda tayari kupitia instruments za Maria Sarungi tayari wako mkobani mwake na wakati huohuo wakiwa ndani ya CHADEMA.

Sina hakika na ukubwa, nafasi na ushawishi wa kundi hili la wana CHADEMA kumpa ushindi TAL lakini pia hatma yake kama akishindwa, ambayo ni very likely given the circumstances na kama Mbowe atagombea. Ni dhahiri, haiwezi kuwa CHADEMA.

Tatu; ZZK aliamini ushawishi wake itakuwa mwisho wa CHADEMA kama akitoka. Kwa pambio zilivyokuwa alijaa upepo akiamini ana wafuasi na timu kubwa within the party ranks na wanachama. But this didn’t materialize. Ingawa similar situation kama nilivyoeleza iko likely kutokea kwa TAL, but kuna tofauti kidogo.

ZZK alikuwa tayari politically alienated na downgraded. But mkutano wa TAL wa kutangaza nia umeshaonesha dalili wazi compare to FAM’s gathering. Saying that; tayari TAL alishaanza kuwa downgraded and mistrusted, though not for long enough compare to ZZK. Approach yake ya kushambulia viongozi wenzake inaongeza zaidi tatizo. Haoneshi kuwa na nia ya kubaki jumuishi na integrated regardless the results, which is surprising. Anatafuta nafasi kwa kutoboa mtumbwi aliomo.

Nne, kuna kitu kinaitwa ACT Wazalendo. Ilianza kazi mapema tu similar to current situation of kitu kinaitwa Sauti ya Wananchi. ZZK exit was to ACT Wazalendo. TAL japo hataji exit mwenendo wake “ni wa kujaribu” kugombea.

Amesukumwa na msukumo wa ghafla, ambao upepo wake unaweza kuhojika sana. Hawezi eleza current political trends pekee kama sababu. Kuna jambo zaidi. Hapa ni possible Sauti ya Wananchi platform. Championed by Boniface Mwabukusi, Dr. Slaa and co. Of course Maria Sarungi also within. Walijaribu kuichota CHADEMA from within ikashindikana. But through TAL exit this may work out. Remember a registered pending political party? Nitarudi…

Jambo la tano na mwisho kwa sasa. TAL like ZZK ameshaanza lugha za mapema za CHADEMA ina jasho, mali na uwekezaji wake. ZZK said exactly the same prior to exit. Peter Msigwa too, similar sentiments.

Kauli za namna hii tayari zinajenga flashpoint for possible warfare. Basically ana set platforms for future confrontations. As I said anajaribu within ili kujenga kwingine. Anajiandaa kukibagaza CHADEMA akiwa ndani ili mbeleni iwe rahisi.
Lissu / Mbowe bado chama kinawahitaji ,ila wasiwe na viburi kwamba ndo wapo na uwezo mkubwa kuliko wengine, chadema kuna watu wapo na uwezo kuwazidi wao ,nani alijua Mzee kibao ( R.I.p)alikua mtu muhim ndani ya chama tena sana.

So cha msingi busara itumike tu ,ila sio kwamba Mbowe ,au lissu kama sio viongonzi basi hakuna watu wakuvusha chama ichi.

Uyu Maria binafsi kwa jicho la tatu yupo na unafiki,
 
Best guess comes from reading the trend.. ndio maana tunaita political talks...

Unless una muda tuzungumze Chemistry
Katika mambo ya hoja base kwenye fact zaidi,Logic inahusika ni branch of philosophy,and philosophy is the mother of all subjects all over the world,wataalamu wote duniani, fan zote duniani ni zao la PHILOSOPHY, logic ni branch yake.
 
Back
Top Bottom