Uchaguzi 2020 Kwa mtazamo wenu, mnadhani hizi hoja zitawabeba kwenye Sanduku la Kura?

Uchaguzi 2020 Kwa mtazamo wenu, mnadhani hizi hoja zitawabeba kwenye Sanduku la Kura?

Mazuri gani? Kuteka watu, kuua wapinzania, kipiga wabunge risasi, kuminya na kufungia vyombo vya habari, kujenga uwanja wa ndege chato. Shame on you!
 
Mahakama ipi? Hiyo iliyotiwa mfukoni na huyo anayejita KICHAA? Hiyo ni mahakama UCHWARA.

Mmezuiwa kwenda mahakamani na kuweka order (Habeas corpus) ili mnaosema wamemteka wamlete?
 
Tumeccm ambayo hata Mkapa alikuwa KAIPUUZA kwa kukosa imani nayo? 😳

1599190587931.jpeg


Hiyo ni kazi ya TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
 
Mazuri gani? Kuteka watu, kuua wapinzania, kipiga wabunge risasi, kuminya na kufungia vyombo vya habari, kujenga uwanja wa ndege chato. Shame on you!
Hebu kuwa precisely, wabunge walipigwa risasi wangapi? Magazeti mangapi yamefungiwa? Uwanja wa ndege Chato una shida gani? Huoni kuwa ni kwa ajili ya wananchi?
 
Kuna maswali nimeuliza. Nafikili ungeli yajibu ingekuwa ni sawa. Mfano nipe jibu moja tu. Waliobomolewa kimara walikuwa kwenye hifadhi? Sheria inasemaje? Tanzania hakuna uhuru wa kufanya kazi? Uhuru wa kujieleza? Jikite kwenye mada.
Waliobomolewa Kimara walipewa maeneo hayo na serikali hiyo ya ccm ambayo ilirudi tena kuwabomolea.
Kuhusu uhuru wa kujieleza ni dhahiri unajua kilichowakuta kina Ben saa 8,Azori,Lissu et al.
Uhuru wa kufanya kazi hali ya maisha ya mtu mmoja mmoja ni ushahidi tosha;ni ngumu mno mtaani.
Endeleeni kujitoa ufahamu kama mazuzu.
 
Unadhani kuna vilio kila kona Nchini ili kura zihesabiwe hadharani? Usidhani Watanzania ni wapumbavu!

1599190780215.jpeg

hivi wale mawakala wanaokuwa kwenye vituo vya kupigia kura huwa ni vipofu mpaka mseme mnaibiwa kura??
 
Hawa wamaojiita wapinzani ni km vichaa. Tangu kampeni zianze hawana hoja zenye ushawishi ili tuwachague.
Hoja zao zakipuuzi Sana, eti hatuna uhuru wakujieleza. Sijui ni mtanzania gani anaweza kulielewa hili? Manake tupo huru tunabwabwaja tunavyotaka, kuanzia kwenye vijiwe nya kahawa Hadi huku mitandaoni.

Uhuru wakutukana (kuvunja heshima ya mtu) haupo popote na hatuutaki.

Wanapinga ujenzi wa bwawa la umeme 😁, wanapinga SGR na miundo mbinu mingine. Eti hayo sio maendeleo ya watu 😆😆. Sijui maendeleo ya watu ndio dudu gani? Uchaguzi huu CCM wanaenda kushinda zaidi ya 80%. Upinzani haukujiandaa.
 
Waliobomolewa Kimara walipewa maeneo hayo na serikali hiyo ya ccm ambayo ilirudi tena kuwabomolea.
Kuhusu uhuru wa kujieleza ni dhahiri unajua kilichowakuta kina Ben saa 8,Azori,Lissu et al.
Uhuru wa kufanya kazi hali ya maisha ya mtu mmoja mmoja ni ushahidi tosha;ni ngumu mno mtaani.
Endeleeni kujitoa ufahamu kama mazuzu.
Walipewa na serikali na haijawalipa fidia? Hao unaosema walipotea una uhakika 100% ni serikali inahusika? Maana kuna mtu alimpiga beat Kubenea juu ya Ben Saanane. Hali ya maisha kuwa ngumu ndio uhuru wa kufanya kazi haupo? Nina mashaka na wewe...
 
Waliobomolewa Kimara walipewa maeneo hayo na serikali hiyo ya ccm ambayo ilirudi tena kuwabomolea.
Kuhusu uhuru wa kujieleza ni dhahiri unajua kilichowakuta kina Ben saa 8,Azori,Lissu et al.
Uhuru wa kufanya kazi hali ya
U maisha ya mtu mmoja mmoja ni ushahidi tosha;ni ngumu mno mtaani.
Endeleeni kujitoa ufahamu kama mazuzu.
Waliobomolewa kimara walishalipwa tangu miaka ya themanini. Lile ni eneo la hifadhi ya barabara.
Uhuru wakujieleza upo tana sanaa, hakuna uhuru wakutukana.
Uhuru wakufanya kazi ndio umebugi kabisaa! Mtanzania anafanya kazi popote muda wowote ili mradi kazi iwe halali.
Endelea kulala na uvivu wako huku ukiilalamikia serikali. Msosi utakufuata hapo ulipo. Wenzio tulishagoma kuajiliwa na maisha yanasonga raha mustarehe.
 
Technically Tundu Lissu keshashindwa uchaguzi hata kabla ya kura kupigwa. Rais Magufuli anamfikia karibu kila Mtanzania pale alipo kwa mfano majuzi katoka Dom kwa gari akapiga show Bahi,kawasabahi wana Manyoni,kapiga show Ikungi, singida. Katoka Singida kwa gari akapiga show Misigiri, kawasabahi wana Shelui, kapiga show Igunga, Nzega. Katoka Nzega kwa gari kawasabahi wana Nsalala,Tinde, Samuye na hatimaye kapiga show ya nguvu Shinyanga.

Sasa ndugu yangu Lissu yeye anakwenda Arusha kwa ndege anatoka Arusha anakwenda Mwanza kwa ndege, anatoka Mwanza anakwenda Shinyanga kwa ndege, anatoka Shinyanga anakwenda Tabora kwa ndege, huku katikati kawaacha wapiga kura maelfu kwa maelfu. Ni afadhali Hashim Rungwe na ubwabwa wake namuelewa kuliko huyu Lissu mpinga maendelea ya miundombinu na kila kitu wakati ni yeye huyo huyo anaitumia
 
mataga tupieni picha ya sgr tuione kama ina thamani ya watu kuendelea kutekwa na kuuawa.
 
Waliobomolewa kimara walishalipwa tangu miaka ya themanini. Lile ni eneo la hifadhi ya barabara.
Uhuru wakujieleza upo tana sanaa, hakuna uhuru wakutukana.
Uhuru wakufanya kazi ndio umebugi kabisaa! Mtanzania anafanya kazi popote muda wowote ili mradi kazi iwe halali.
Endelea kulala na uvivu wako huku ukiilalamikia serikali. Msosi utakufuata hapo ulipo. Wenzio tulishagoma kuajiliwa na maisha yanasonga raha mustarehe.
Kama walilipwa miaka ya themanini waliwezaje kujenga tena maeneo hayo huku serikali ya ccm ikiwemo?
Hadi gorofa la Tanesco linaanza kujengwa serikali ya ccm ilikuwa haioni!!!
Kuhusu kufanya biashara/ kazi swala ni mazingira si rafiki,hali halisi unaijua "vyuma vimekaza",uzuri ni kila mtu anaisoma namba.
Kuna kundi dogo sana mnaotukuza kwa mapambio mnaofaidi japo ndugu zenu wengi wanateseka kwa gharama ya ujinga wenu,endeleeni!
 
Kama walilipwa miaka ya themanini waliwezaje kujenga tena maeneo hayo huku serikali ya ccm ikiwemo?
Hadi gorofa la Tanesco linaanza kujengwa serikali ya ccm ilikuwa haioni!!!
Kuhusu kufanya biashara/ kazi swala ni mazingira si rafiki,hali halisi unaijua "vyuma vimekaza",uzuri ni kila mtu anaisoma namba.
Kuna kundi dogo sana mnaotukuza kwa mapambio mnaofaidi japo ndugu zenu wengi wanateseka kwa gharama ya ujinga wenu,endeleeni!
Mtanzania hii ni kawaida yake. Akilipwa ili kuhama eneo husika haondoki kwa wakati mwisho atatafuta fala amuuzie. Vile viwanja havikuwa na hati miliki sababu sio halali.
Kwenye biashara watu wanapambana Kila siku. Usifanye biashara kwa mazoea, badilika kufuatana na mahitaji. Sio unakomaa kuuza majenereta wakati unaona umeme upo wa uhakika.
Km unahisi hili ni kundi dogo subiri 28oct utajua km nyie mnaolialia ndio kundi dogo saana!
 
Back
Top Bottom