Uchaguzi 2020 Kwa mtazamo wenu, mnadhani hizi hoja zitawabeba kwenye Sanduku la Kura?

Uchaguzi 2020 Kwa mtazamo wenu, mnadhani hizi hoja zitawabeba kwenye Sanduku la Kura?

Mmezuiwa kwenda mahakamani na kuweka order (Habeas corpus) ili mnaosema wamemteka wamlete?
Njaa ya watz 5 yrs,kuumizwa,kuteswa kwa watz 5 yrs ni kibebeo tosha bila hata sera,kuirudisha Tena ccm ni kurudisha kuteswa tena,kuumizwa tena,kubomolewa nyumba yako,kuuwawa,kubambikwa kesi,kufa njaa,kila mtu uogopa yatakayomkuta milele.
 
Kuna maswali nimeuliza. Nafikili ungeli yajibu ingekuwa ni sawa. Mfano nipe jibu moja tu. Waliobomolewa kimara walikuwa kwenye hifadhi? Sheria inasemaje? Tanzania hakuna uhuru wa kufanya kazi? Uhuru wa kujieleza? Jikite kwenye mada.
Nusrat na wenzake wako wapi mpaka sasa?
 
Taja tu viwanda 7 vilivyojengwa na utawala wa mzee nikutumie buku 10 posho leo upate 17

vyerehani usihusishe
Huna akili timamu,kwani ukisikia sera ya viwanda ndio unajua serikali inajenga viwanda.
Unitumie buku kumi mimi nina shisa nayo? Acha dharau za kike.
 
Back
Top Bottom