Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteHongera
Ndio, kuna watu wamewekeza muda mrefu kwa hiyo natahitaji kujua shida nnunataka wakujibu humu? Asante kwa taarifa.
kawaulize wahusika moja kwa moja; kama una nia ya kupata ukweli unapoteza muda humuNdio, kuna watu wamewekeza muda mrefu kwa hiyo natahitaji kujua shida nn
Tatizo nimeliona sasa ivi napiga number zao hazipatikanikawaulize wahusika moja kwa moja; kama una nia ya kupata ukweli unapoteza muda humu
HawapokeiLakini ungewapigia huduma kwa wateja
Kwa lipo sawa ? AuNgja nichungulie salio langu labda limepungua na mm japo sijawithdraw
Hapana hao ndo walivyo mim kuna siku nlisubir dk 24 ndio wakapokea na muda huo ndio wanakupamba na lugha nying eti wew ni muwekezaji😀😀😀😀 subir wawekezaji wenzako bad wanahudumiwaHawapokei
Hwapokei ng'o , labda aende kweny ofisi zao hata kwenye page zao hawajibu maoni .Utt amis huduma kwa wateja +255800112020
Kwangu liko sawa mkuu jarb kuwasiliana naoKwa lipo sawa ? Au
Lakin mim huwa nawasiliana nao saan kupitia hiyo namba sema muda wa kupokea ni saa mbil asbh mpk saa kumi na nusu siku za kazi zingatia hiloHwapokei ng'o , labda aende kweny ofisi zao hata kwenye page zao hawajibu maoni .
DuhHapana hao ndo walivyo mim kuna siku nlisubir dk 24 ndio wakapokea na muda huo ndio wanakupamba na lugha nying eti wew ni muwekezaji😀😀😀😀 subir wawekezaji wenzako bad wanahudumiwa
SawaKwangu liko sawa mkuu jarb kuwasiliana nao
Labda nisubiri kesho ikishindikana niende ofisini kwao moja kwa mojaLakin mim huwa nawasiliana nao saan kupitia hiyo namba sema muda wa kupokea ni saa mbil asbh mpk saa kumi na nusu siku za kazi zingatia hilo