Kwa mtazamo wenu, ni changamoto zipi zinazohusiana na liquid fund?

Kwa mtazamo wenu, ni changamoto zipi zinazohusiana na liquid fund?

Hapana hao ndo walivyo mim kuna siku nlisubir dk 24 ndio wakapokea na muda huo ndio wanakupamba na lugha nying eti wew ni muwekezaji😀😀😀😀 subir wawekezaji wenzako bad wanahudumiwa
Duh
 
Lakin mim huwa nawasiliana nao saan kupitia hiyo namba sema muda wa kupokea ni saa mbil asbh mpk saa kumi na nusu siku za kazi zingatia hilo
Labda nisubiri kesho ikishindikana niende ofisini kwao moja kwa moja
 
Back
Top Bottom