Kwa mtindo huu UKIMWI hautakwisha!

Si mnafanya fasta afu mnawahi bafuni kuoga na maji ya moto kama Jacob zuma?...............Mpe mtoto wa mwanamke mwenzio huyo!

Sindwa na ulegee katika jina la yesu
 

Kumbe tunaitwa hivi? kwa nini jamani? msaada hapo
 
Sasa wewe dadaa shida unayoipata hapo ni ipi?Umesema umeshaolewa,jibu si ndio hilo??Mweleze kuwa kama hafahamu basi atambue kuwa UMEOLEWA (una mume).Iwapo atarudia hayo matamanioi yake then utatambua kuwa hana nia njema na amekosa nidhamu yeye kama mtu mzima na unaweza kum-expose kama una ushahidi wa kimaandishi(i.e text message) toka kwake,au recorded call(loud mode kisha record).IF HE'S SERIOUS THEN HE NEEDS DRASTIC TREATMENT TO STOP HIM.
Keep us posted.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…