Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hio suede iliokaa gadget yako ni sofa? Nayo milioni ngapi?
Kwahio shida si 2m, ila ni kama unavaa hivyo halafu hujajenga?Weka picha tumwone usije ukawa kama wema na wewe! kujiongezea masifuri mbele laki iitwe million.
By the way hatushangai kuvaa ivyo kwan kuna watu wana uwezo hata izo mil 2 ni kabechi tuu, issue ni kuwa Je una uwezo wa kuvaa mil 2 kila out hlf umepanga huna hata kiwanja? Hizo akili matope?This is a naked lie!
Kwahio shida si 2m, ila ni kama unavaa hivyo halafu hujajenga?
Haya bana...unajua huku bongo tunavaa sana mitumba kwahio ukiwaambia watu ukitoka chini mpaka juu inaweza kufika 2m wanawaka kweli, wanafikri lazima uwe billionare! Kumbe ukivaa t-shirt lacoste,levi's jeans,belt timberland,diesel watch chini ukimalizia na brown 6'' tim boots 2m imekwisha!Hapana...siyo sofa.
Ni swivel glider rocker recliner....ni zaidi ya 2 mill bana. Na hapo ni bei ya Memorial day sale.
Halafu uko attentive to detail kweli kweli. Umejua kuwa ni suede in no time.
Sofas napenda zaidi zile sectionals.....
Camera ya S7 edge ni nomaaaa.
Kibongobongo kama hujajenga huna akili. Soma,pata kazi, oa, jenga....ukiweza jenga ingine na ingine na ingine tena. Thats life.Watu hufanya kama vile kujenga ni lazima.
Sijui nani aliwaambia kila mtu anataka kujenga.
Why the hell care if someone spends their hard earned money [or otherwise for that matter] with reckless abandon?
Don't understand why people think we all have to do things using the same playbook!
Duuuh wala mbwa tupo wengi kumbe??[emoji15] [emoji15] sasa mbona mmeweka majina ya USA baby??taratibu jamani tusije tukarithiana kama waarabu kumbe kaka na DadaNdauli be!
Vizuri sana mkuu, na gari yake mkeo ni ya milioni ngapi?Bangili hizo tatu zinauzito unaotofautiana kidogo kwakuwa haziwezi kuwa sawa ila round figure ni gram 52.84 kwa moja ambapo kwa zote roughly ni gram 158.5. Labda hints hizi zitakusaidia kupiga hesabu vizuri: gram 1 Karat 21 is 139 AED = 37.844 USD.
Haya bana...unajua huku bongo tunavaa sana mitumba kwahio ukiwaambia watu ukitoka chini mpaka juu inaweza kufika 2m wanawaka kweli, wanafikri lazima uwe billionare! Kumbe ukivaa t-shirt lacoste,levi's jeans,belt timberland,diesel watch chini ukimalizia na brown 6'' tim boots 2m imekwisha!
Sio kwamba soma>pata kazi> nunua gari> oa> janga, etc?Kibongobongo kama hujajenga huna akili. Soma,pata kazi, oa, jenga....ukiweza jenga ingine na ingine na ingine tena. Thats life.
Ha ha ha ha ha niliisahau gari....kopa/nunua!Sio kwamba soma>pata kazi> nunua gari> oa> janga, etc?
Any reasonable person can see tatizo bila kuuliza!Kwahio shida si 2m, ila ni kama unavaa hivyo halafu hujajenga?
Yeah hapo sawa, utaendaje kuchumbia ukiwa umepanda bodaboda?? Kopa, nunua gari, oa, jenga!!Ha ha ha ha ha niliisahau gari....kopa/nunua!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Matawa hela bee!Duuuh wala mbwa tupo wengi kumbe??[emoji15] [emoji15] sasa mbona mmeweka majina ya USA baby??taratibu jamani tusije tukarithiana kama waarabu kumbe kaka na Dada
Reasonable in your perspective.Any reasonable person can see tatizo bila kuuliza!
Daaah kaka kima ngabu daaah kweli USA baby[emoji4]
Daaah kaka kima ngabu daaah kweli USA baby[emoji4]
Nlitaka kusema the samembona hana nyumba sasa
Moja ya kitu kinachomtofautisha mtu maarufu na wakawaida mara nyingi ni kujulikana kwake na mavazi anayovaa. Kwa mfano mzuri tu ni hapa Bongo watu wengi maarufu wamekua wakionekana nadhifu sana kwa kuvaa nguo za gharama.
Kwa mwananchi wa kawaida kununua nguo ya Laki moja ni jambo gumu sana ila kwa star kama Wema Sepetu ni jambo la kawaida sana. Akihojiwa katika EFM Radio Wema Sepetu alifunguka kua kwa kila siku anayotoka vitu anavyovaa gharama yake ni kama milioni 2 za kitanzania. Hebu mskie kwenye video hii hapa chini..