nilikuwa nanawa tu kwenye kisinki na kupiga mswaki.. amini usiaminiMimi nimewahi kukaa siku 7 hv au sita bila kuoga
Ilikuag maji kama sku 3 hakuna hata yalivorudi nkawa sina time nayo 🤣🤣
halafu hyo ya kukaa sku 29 unqtupqnga tu afu ulikua unanuka kuanzia mdomo mavi mpka utumbo🤣
ikifika siku ambazo mtu amekaa bila kupga mswaki unishtuwe nitoe ushuhuda mzito
Sio mchezo 😂😂usifanye masihara 🤣🤣
Tulikuonya mkuu,achana na watoto wa shule,hukusikia..Niliingia kwenye msala flan ambao hatma yake iliamuliwa baada ya siku 30, ulikuwa msala ambao ungeathiri hata maisha yangu kiujumla...
🤣🤣sasa kama n hvo s ulikua unanuka kibeberu beberu mkuu.....mswaki ulikua unakumbuka lqkiniNadhani nilifika 3 month, ilikuwa hata munawa uso ni kipengele😂😂 fundi bishoo
Basi hizo stress zilizokua znqkufqnya uwe hvyo zisiwe za mapenzi mkuunilikuwa nanawa tu kwenye kisinki na kupiga mswaki.. amini usiamini
Eti umependwaga na binti mauANadhani nilifika 3 month, ilikuwa hata munawa uso ni kipengele😂😂 fundi bishoo
Niliendaga mbeya kweny baridiNiliingia kwenye msala flan ambao hatma yake iliamuliwa baada ya siku 30, ulikuwa msala ambao ungeathiri hata maisha yangu kiujumla.
Nlijaa stress sana hicho kipindi nasubiri hatma, nilikaa wiki 2 bila kuoga nikaja kuoga mara 1 nikakaa tena wiki 2, baada ya kujua ule msala haupo tena ndio nikajirudi.
Nilikuwa na msongo wa mawazo (depression) Sikuwa na nguvu hata ya kujijali usafi nilikuws nanawa tu na kupiga mswaki (i lost the energy to give a damn about it)
😁😁😁😁Nadhani nilifika 3 month, ilikuwa hata munawa uso ni kipengele😂😂 fundi bishoo