Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Imekuwa ni swali ninalojiuliza kila ninapokwenda kulala. Serikali mpya ya rais itachukua muundo gani,itakuwa na muonekano upi?
Sasa hivi nafikiri kwamba nchi ni disoriented,yaani watu wamechanganyikiwa akili. You see some quite spectacular crimes happenning. Juzi mtu kambaka binti yake wa darasa la saba. Jana, Arusha, huyu mtu kamuua mtoto wake bila sababu.
A few days ago mtoto mchanga alikuwa ananyonya titi la mama yake aliyekufa,mama aliyefungwa mikono.. Pia mtu kamng'ata masikio yote mawili mama yake mzazi aliyekuwa usingizini.
Hali sasa ni kama wakati ule ambapo Magufuli alipoanza kazi,alipokuwa anaongoza nchi yeye na Ombeni Sefue na media.
Sasa hivi pia tuna so-called "civil unrest". I am not saying hdkuna tishio la ugaidi. Isipokuwa inatokea sasa.when the president is procrastinating.
Pia sasa hivi M23 wamerudi field.
Sasa hivi nafikiri kwamba nchi ni disoriented,yaani watu wamechanganyikiwa akili. You see some quite spectacular crimes happenning. Juzi mtu kambaka binti yake wa darasa la saba. Jana, Arusha, huyu mtu kamuua mtoto wake bila sababu.
A few days ago mtoto mchanga alikuwa ananyonya titi la mama yake aliyekufa,mama aliyefungwa mikono.. Pia mtu kamng'ata masikio yote mawili mama yake mzazi aliyekuwa usingizini.
Hali sasa ni kama wakati ule ambapo Magufuli alipoanza kazi,alipokuwa anaongoza nchi yeye na Ombeni Sefue na media.
Sasa hivi pia tuna so-called "civil unrest". I am not saying hdkuna tishio la ugaidi. Isipokuwa inatokea sasa.when the president is procrastinating.
Pia sasa hivi M23 wamerudi field.