Kwa Mujibu wa Benki ya Dunia, Kenya ina electricity coverage mara dufu ya Tanzania

Kwa Mujibu wa Benki ya Dunia, Kenya ina electricity coverage mara dufu ya Tanzania

hujui kazi ya REA au umekua mgeni ???πŸ˜‚


Acha ujinga wewe, this report was for the entire country, both urban and rural.
Screenshot (248).png
 
Bro kati ya vijiji elfu 12,elfu 2 tu hamna umeme kwa hiyo ongea mambo yenye uhalisia hapo bado sehemu ya mijini
Sasa nyinyi mnataka kukimbizana na Seychelles mahali ambapo kila mtu ana umeme?
 
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


Wewe jamaa look for any nearby primary school so that you can borrow a functioning brain from there cause it seems the one you have is rotten. Nenda ukajifunze tofauti kati ya electricity connectivity and electricity access alafu urudi tuendelee.
Screenshot (247).png
 
Sasa nyinyi mnataka kukimbizana na Seychelles mahali ambapo kila mtu ana umeme? Nyie ni wajinga sana.
Hawa watu hawajui tofauti kati ya electricty connectivity na electricity access
 
according to u and now is 2020


Seychelles wana 100% access to electricity. Eti Nigeria ni ya pili na Tanzania ni ya kwanza? Wacha kupost mavi kwenye uzi wangu. Seychelles na Mauritius wamewashinda, kubali yaishe.
 
Wewe endelea na hizo report za Bank ya Dunia; for your information, in the next 2yrs tunamazia kufikisha umeme kwa vijiji vyote viliyo bakia hapa tanzania; na kazi ya kusambaza kwenye nyumba inaenda kwa light speed. Kumbuka tuna Stiglers itakayo tupatia umeme mwingi na wa ziada na wa bei poa in the next 2yrs

Wewe endelea ku google report za research zilizofanyika 2000, sisi TUNASONGA MBELE.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ REA


Ni wewe anayeweza kupingana na data ya benki ya dunia halafu unaposti ujinga eti TZ ni ya kwanza Afrika katika access to electricity. Hata baada ya kukupa data ya World Bank bado unapingana. Mimi sidebate na wewe tena kuhusu hili jambo. Nimeona huna akili kabisa.
 
Hata wewe hujui "coverage" na "access" ya electricity .Tanzania coverage ni kubwa ila access bado ndogo
Wewe sasa unajichanganya, coverage and access ni kitu kimoja as far as electricity is concerned.
 
Wewe jamaa look for any nearby primary school so that you can borrow a functioning brain from there cause it seems the one you have is rotten. Nenda ukajifunze tofauti kati ya electricity connectivity and electricity access alafu urudi tuendelee.
View attachment 1608339
Huyo ichoboy01 ni mjinga wa mwisho. Wacha kuargue na yeye. Unampea attention na hakuna kitu ya maana anapost hapa. Anapingana na data ya World bank. Only a fool can argue with World Bank's data. Huyo hata hakuna evidence unaweza kumpea ndio akubali kuwa Tanzania sio ya kwanza Afrika kwenye access to electricity.

Mtu kama huyo ako na very very low IQ. Arguments zake ni za ujinga sana. Watanzania intelligent wameona report ni ya World Bank wakaenda zao. Hawataki kuargue na World Bank lakini hii ng'ombe inaweza argue hata na Mungu. Honestly sijawahi kuona mtu mjinga kama ichoboy in my life. So you are just wasting your energy.
 
Huyo ichoboy01 ni mjinga wa mwisho. Wacha kuargue na yeye. Unampea attention na hakuna kitu ya maana anapost hapa. Anapingana data ya World bank. Only a fool can argue with World Bank's data. Huyo hata hakuna evidence unaweza kumpea ndio akubali kuwa Tanzania sio ya kwanza Afrika kwenye access to electricity. Mtu kama huyo ako na very very low IQ. Arguments zako ni za ujinga sana. Watanzania intelligent wameona report ni ya World Bank wakaenda zao. Hawataki kuargue na World Bank lakini hii ng'ombe inaweza argue hata na Mungu. So you are just wasting your energy.
Huyo anapingana hadi na data za Tanzania National Bureau of Statistics.
 
Hahahaha zawadi yako hii hapa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
2597466_IMG_20201019_214912_579.jpg
 
Huyoanapingana hadi na data za Tanzania National Bureau of Statistics.
Huyo anasuffer from Dunning-Kruger effect. Where stupid people overestimate their intelligence. Jamaa ni dunderhead na anajiona genius.
Watu kama hao unawalenga juu they are too stupid to know the difference between fact and fiction.
Dunning–Kruger effect - Wikipedia.
 
aiseee dahhhh pamoja na zile mbwe mbwe zote za jiwe kumbe hali hoiiiii!!!!πŸ˜‚
 
Takwimu zetu zimejaa ulaghai mwingi, zimelenga kuhadaa wananchi, zikivuka nje ya mipaka yetu zinatuvua nguo.
 
Back
Top Bottom