BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Hapana ni tofauti, eneo (kijiji) linaweza kuwa limefikiwa na umeme lakini wanakijiji wasiwe na namna ya kuutumia eg haujawa stepped down hapo ni coverage with no access.Wewe sasa unajichanganya, coverage and access ni kitu kimoja as far as electricity is concerned.