NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
[emoji471] 2004 - [emoji1110] Heart of OAK
[emoji471] 2005 - [emoji1173] FAR Rabat
[emoji471] 2006 - [emoji1249] ES Setif
[emoji471] 2007 - [emoji1249] CS Sfaxien
[emoji471] 2008 - [emoji1249] CS Sfaxien
[emoji471] 2009 - [emoji1159] Stade Malen
[emoji471] 2010 - [emoji1173] FUS Rabat
[emoji471] 2011 - [emoji1173] MAS Fez
[emoji471] 2012 - [emoji1077] AC Leopards( kocha Nabi )
[emoji471] 2013 - [emoji1249] CS Sfaxien
[emoji471] 2014 - [emoji1093] Al Ahly Cairo
[emoji471] 2015 - [emoji1249] ES Setif
[emoji471] 2016 - [emoji1078] TP Mazembe
[emoji471] 2017 - [emoji1078] TP Mazembe
[emoji471] 2018 - [emoji1173] Raja Casablanca
[emoji471] 2019 - [emoji1093] Zamalek
[emoji471] 2020 - [emoji1173] RS Berkane
[emoji471] 2021 - [emoji1173] Raja Casablanca
[emoji471] 2022 - [emoji1173] RS Berkane
[emoji471] 2023 ?
Kocha wa klabu ya Yanga, Nabi alitwaa kombe hili mwaka 2012 akiwa kocha wa klabu ya AC Leopards ya Congo Brazaville [emoji1077]
Nabi anatafuta kombe lake la pili la CAF Confederations cup kwenye career yake, awamu hii akiwa Young Africans SC [emoji1241]
NB: Vilabu kutoka Tanzania [emoji1241] na Algeria [emoji1026] havijawahi kutwaa Ubingwa wa CAF Confideration Cup.
Klabu itakayoshinda kati ya Yanga na USM Alger itakuwa imepeleka kombe la kwanza la CAFCC kwenye Nchi husika.
[emoji471] 2005 - [emoji1173] FAR Rabat
[emoji471] 2006 - [emoji1249] ES Setif
[emoji471] 2007 - [emoji1249] CS Sfaxien
[emoji471] 2008 - [emoji1249] CS Sfaxien
[emoji471] 2009 - [emoji1159] Stade Malen
[emoji471] 2010 - [emoji1173] FUS Rabat
[emoji471] 2011 - [emoji1173] MAS Fez
[emoji471] 2012 - [emoji1077] AC Leopards( kocha Nabi )
[emoji471] 2013 - [emoji1249] CS Sfaxien
[emoji471] 2014 - [emoji1093] Al Ahly Cairo
[emoji471] 2015 - [emoji1249] ES Setif
[emoji471] 2016 - [emoji1078] TP Mazembe
[emoji471] 2017 - [emoji1078] TP Mazembe
[emoji471] 2018 - [emoji1173] Raja Casablanca
[emoji471] 2019 - [emoji1093] Zamalek
[emoji471] 2020 - [emoji1173] RS Berkane
[emoji471] 2021 - [emoji1173] Raja Casablanca
[emoji471] 2022 - [emoji1173] RS Berkane
[emoji471] 2023 ?
Kocha wa klabu ya Yanga, Nabi alitwaa kombe hili mwaka 2012 akiwa kocha wa klabu ya AC Leopards ya Congo Brazaville [emoji1077]
Nabi anatafuta kombe lake la pili la CAF Confederations cup kwenye career yake, awamu hii akiwa Young Africans SC [emoji1241]
NB: Vilabu kutoka Tanzania [emoji1241] na Algeria [emoji1026] havijawahi kutwaa Ubingwa wa CAF Confideration Cup.
Klabu itakayoshinda kati ya Yanga na USM Alger itakuwa imepeleka kombe la kwanza la CAFCC kwenye Nchi husika.