Kwa mujibu wa jarida la Nigeria AFRIMMA, Diamond ni msanii wa 4 kwa ubora Afrika 2019 na vile vile awa no 1 Boomplay kwa upande wa Tanzania 2019

Kwa mujibu wa jarida la Nigeria AFRIMMA, Diamond ni msanii wa 4 kwa ubora Afrika 2019 na vile vile awa no 1 Boomplay kwa upande wa Tanzania 2019

joseph1989

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2014
Posts
17,420
Reaction score
35,765
79188867_2766009866793240_6886365350544085279_n.jpg
79038099_461323128147819_4176460605286431496_n.jpg
 
Jamani ndo maana nawaita misukule. Nikisifia mnalalamika,nikipondea mnalalamika,nikikoment bila kueleweka mnalalamika.

Jiraniii jirani zangu eee nimewakosea nini jirani kila nikiwasifiaaaa jiranii eee wenzangu mnalalamika

Kila nikiwapondea jirani eee wenzangu mnaninuniaaa

Sasa niwaeleweje jiraniii ee sasa nifanye nini jiraniiiii ee

Mimi na nyie ni kitu kimojaaaaa

Haina maana oooh haina maana kununiana

Mimi na nyinyi ni majiraniiii oooh haina maana kugombana

Asalaleeeeeeee ally choki na twanga pepeta walitamba sana.
Leo umeshindwa kubisha kwasababu huna hoja......Hahahahahahahahah
 
Hivi wabongo kwanini hip hop itakufa?haiwezekani top 10 wote wabana pua
 
Hiyo kuwa namba 4 africa wamemuonea bwana.Huyo mbili ama tatu
 
Moja ya Nyimbo hizo ni Tetema kutoka kwa Rayvanny ft Diamond.
Screenshot_20191224-232445.png


 
Uki-log In Kwenye Hiyo List Unamkuta Namba 1 Ni Ally Kiba Maana Yeye Hapendi Kabisa Show Off
 
Back
Top Bottom