cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Huuu ni upupu haswaaaaaa tena mkavuuu, hivi Vanessa anapitwaje na hawa underground, hizi ni takataka sitaki kuamini kabisaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huuu ni upupu haswaaaaaa tena mkavuuu, hivi Vanessa anapitwaje na hawa underground, hizi ni takataka sitaki kuamini kabisaaaa
Aseee namtafuta mganga wake maana inaelekea ni fundi haswa(kidding)Shukrani kwa mganga na wachawi wote wa Diamond
Hujalazimishwa kuamini,lkn hata kama ww hutoamini hamna kinacho badilika.Huuu ni upupu haswaaaaaa tena mkavuuu, hivi Vanessa anapitwaje na hawa underground, hizi ni takataka sitaki kuamini kabisaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba vipi mbona povu linakutoka.Wewew jamaa hivi huwa unapata muda wa kula kweli. Maana naona umekuwa msukule wa domo hasaaaaaaaaaaa.
wewe Chinga One na Innocent Boniphace mpaka mnatia huruma aisee. Huuu siyo ushabiki.
Mbona ana hit song nyingi Sana kuliko msanii wowote wa kike mf kiza kinene aliyofanya na sauti soul, ninogeshe n.kHvi nandy anaimba nin
mke wangu ndo anapaswa kujua nakula saa ngapi,unless unataka kua mke wangu wa pili ili unipangie ratiba nyingine ya kula.😁Wewew jamaa hivi huwa unapata muda wa kula kweli. Maana naona umekuwa msukule wa domo hasaaaaaaaaaaa.
wewe Chinga One na Innocent Boniphace mpaka mnatia huruma aisee. Huuu siyo ushabiki.
Waulize Boomplay na Afrimma magazine.