Mungu ni Jina la office iliyo kuu yenye mamlaka kubwa kuliko zote Mbinguni na duniani.Mungu ni jina.
Kwa kiarabu ni Allah
Kwa hibru ni Eloi
Lkn kuna Mungu yesu.
Nakumbuka kipindi fulani ilikuwa ni kosa la jinai kusema "Yesu Si Mungu"
Kwa hiyo katiba na sheria za Tz inaamini Mungu yupi wa taifa ni yupi
Lakini Jina la Mungu tulilopewa WANADAMU litupasalo kuokolewa kwalo ni Jina "YESU ".
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen