Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 984
- 1,179
- Thread starter
- #41
Mko asilimia ndogo ya watz. Hata hivyo nadhani Mungu wa watz ni Moto (Mwenge). Ndio maana tunaimba ulinde mipaka yetuWimbo wa Taifa unatunyanyapaa na kututenga tusioamini Mungu.
Huyo Mungu aliyetajwa ni wa mazingaombwe tu, kika mtu anayeamini Mungu ajione Mungu anayeongelewa ni Mungu wake.