Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
- #161
Kamanda
Pandikizi limebuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pandikizi limebuma
wapi ulikiona? hakuna kikao rasmi kiliwahi kufanyikaMbona CCM na TLP walifanya kikao pamoja?
Mpuuzi wewe Polepole hakwenda wakati TLP wanapitisha mgombea wao wa uRais?wapi ulikiona? hakuna kikao rasmi kiliwahi kufanyika
pia ni swala la katiba je katiba za hivi vyama zinatamka kuwa mtu atajivua uanachama akimuunga mkono mgombea wa chama kingine kama ilivyo katiba ya ACT wazalendo? Katiba ya ACT wazalendo inamka wazi kabisa bila kumeza maneno
Alienda kama msikilizaji MWALIKWA mikutano yote mikuu ya vyama wawakilishi wa vyama vyote vya ndani na nje ya nchi hualikwa wakatae wenyeweMpuuzi wewe Polepole hakwenda wakati TLP wanapitisha mgombea wao wa uRais?
Teteete mgombea wa TLP ni nani vile?Alienda kama msikilizaji MWALIKWA mikutano yote mikuu ya vyama wawakilishi wa vyama vyote vya ndani na nje ya nchi hualikwa wakatae wenyewe
Zito alijitungia akiwa na dhamira ya kuiujumu chadema akasahau kuna Rais atakuwa upande usio wakwake na simwanachama wa actNdugu zangu,
Katiba ya ACT Wazalendo inapinga mwanachama kumuunga mkono mgombea asiye mwanachama wa ACT.
Fuatilia mwenyewe hapa chini, Bernard Membe akitumia vema turufu anaweza kuwavua uanachama hawa "wavamizi" ndani ya ACT.
View attachment 1606498