Kwa mujibu wa maoni ya waganga hapa Sumbawanga, kuanguka kwa Dïamond ni ishara ya kuzikwa nyota kichawi

Kwa mujibu wa maoni ya waganga hapa Sumbawanga, kuanguka kwa Dïamond ni ishara ya kuzikwa nyota kichawi

Wewe Jamaa mawazo yako yanaendana na jina lako kabisa
 
Inasemekana kwamba pale jukwaa lilipoanguka ndo shimo/kaburi,na kilichotoka pale nï kivuli au msukule,ila diamond tayari yuko kuzimu sumbawanga

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]falla wewe,kama kweli vile kumbe umelewa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]falla wewe,kama kweli vile kumbe umelewa.
Usiwe tomaso mkuu,nimeongea nao kwa kirefu hao wazee na nimewasikia kwa masikio yangu mawili
 
Hii ni tafsiri ya waganga maarufu,na inadaiwa hirizi zake zilipasuka au kupotea

Mpaka atokee mtaalam wa kumfufua kwa kuwa kishirikina bado kazikwa japo anajiona mzima

Kwa hiyo mnaunganisha tena na ile chain ikiyoibiwa Mtwara? Wako waliosema ilikuwa na ndumba pia. Mimi sijui maana kwetu hakuna mambo haya. Ila niseme tu machache kuwa ni vyema pia akumbuke haya:

1. Ni juzi ametoka kumtukana mtu mzima mtumishi ATCL anatakiwa kujitafakari sana.

2. Ni juzi tu amekuwa nahesabu pesa kwa madaharau akiwa na huyo Tanasha bibi mpya anatakiwa kujitafakari.

3. Amechezea wanawake wazuri mno na kuwadhalilisha baadaye. Hii ni kwa sababu ya Nguvu ya Pesa. WANAWAKE hao hata kama wana move on but bado mioyo yao imejeruhiwa na wengine wameshataki kwa Mungu - ajitafakari pia.

4. Nilivyofundishwa Mimi ni kwamba wako wanawake/wanaume wa Baraka. Kuna ambao ukioa ni Mikosi tu na mwishowe utafilisika. Ajiangalie upya na mahusiano mapya hayo.

5. Ana mahusiano mabaya na baba Mzazi. Hapo juzi kati aliomba hata amkatie bima ya afya tu. Ajitafakari hapa.

Kifupi Maadui wa Mondi wako wengi mno na mbaya zaidi usicheze na SERIKALI.

Kila la heri Mondi ila uwe makini mno. Kuna Rise and Fall. Ni kazi ngumu sana kupanda ila it is a matter of minutes to fall and breaks completely.
 
Kwa hiyo mnaunganisha tena na ile chain ikiyoibiwa Mtwara? Wako waliosema ilikuwa na ndumba pia. Mimi sijui maana kwetu hakuna mambo haya. Ila niseme tu machache kuwa ni vyema pia akumbuke haya:

1. Ni juzi ametoka kumtukana mtu mzima mtumishi ATCL anatakiwa kujitafakari sana.

2. Ni juzi tu amekuwa nahesabu pesa kwa madaharau akiwa na huyo Tanasha bibi mpya anatakiwa kujitafakari.

3. Amechezea wanawake wazuri mno na kuwadhalilisha baadaye. Hii ni kwa sababu ya Nguvu ya Pesa. WANAWAKE hao hata kama wana move on but bado mioyo yao imejeruhiwa na wengine wameshataki kwa Mungu - ajitafakari pia.

4. Nilivyofundishwa Mimi ni kwamba wako wanawake/wanaume wa Baraka. Kuna ambao ukioa ni Mikosi tu na mwishowe utafilisika. Ajiangalie upya na mahusiano mapya hayo.

5. Ana mahusiano mabaya na baba Mzazi. Hapo juzi kati aliomba hata amkatie bima ya afya tu. Ajitafakari hapa.

Kifupi Maadui wa Mondi wako wengi mno na mbaya zaidi usicheze na SERIKALI.

Kila la heri Mondi ila uwe makini mno. Kuna Rise and Fall. Ni kazi ngumu sana kupanda ila it is a matter of minutes to fall and breaks completely.
Maneno ya busara sana
 
Hii ni tafsiri ya waganga maarufu,na inadaiwa hirizi zake zilipasuka au kupotea

Mpaka atokee mtaalam wa kumfufua kwa kuwa kishirikina bado kazikwa japo anajiona mzima
Hakuna uchawi hapo,ubovu wa jukwaa na kutokuzingatia resonant frequency.
 
Kwa hiyo mnaunganisha tena na ile chain ikiyoibiwa Mtwara? Wako waliosema ilikuwa na ndumba pia. Mimi sijui maana kwetu hakuna mambo haya. Ila niseme tu machache kuwa ni vyema pia akumbuke haya:

1. Ni juzi ametoka kumtukana mtu mzima mtumishi ATCL anatakiwa kujitafakari sana.

2. Ni juzi tu amekuwa nahesabu pesa kwa madaharau akiwa na huyo Tanasha bibi mpya anatakiwa kujitafakari.

3. Amechezea wanawake wazuri mno na kuwadhalilisha baadaye. Hii ni kwa sababu ya Nguvu ya Pesa. WANAWAKE hao hata kama wana move on but bado mioyo yao imejeruhiwa na wengine wameshataki kwa Mungu - ajitafakari pia.

4. Nilivyofundishwa Mimi ni kwamba wako wanawake/wanaume wa Baraka. Kuna ambao ukioa ni Mikosi tu na mwishowe utafilisika. Ajiangalie upya na mahusiano mapya hayo.

5. Ana mahusiano mabaya na baba Mzazi. Hapo juzi kati aliomba hata amkatie bima ya afya tu. Ajitafakari hapa.

Kifupi Maadui wa Mondi wako wengi mno na mbaya zaidi usicheze na SERIKALI.

Kila la heri Mondi ila uwe makini mno. Kuna Rise and Fall. Ni kazi ngumu sana kupanda ila it is a matter of minutes to fall and breaks completely.
Matter of time kuna watu walikuwa wanafanya zaidi ya hayo kwa sasa hawapo kwenye ramani kabisa.
 
Hakuna uchawi hapo,ubovu wa jukwaa na kutokuzingatia resonant frequency.
Mchawi akiingia kwako usiku,ndani ya nyumba,haimaanishi nyumba yako ina nyufa au umelala mlango wazi,maana ya neno sumbawanga ni kwamba tupa uchawi wako kabla hujaingia ndani ya mji wa sumbawanga,yeye kwa kiburi na dharau kaenda nao,aombe wazee wamtoe kuzimu
 
Mzee baba kashakandikwa kumbe......na hii ya kufungiwa ndo chanzo nini huko sumbawanga watu wame hack.....
 
Kwa hiyo mnaunganisha tena na ile chain ikiyoibiwa Mtwara? Wako waliosema ilikuwa na ndumba pia. Mimi sijui maana kwetu hakuna mambo haya. Ila niseme tu machache kuwa ni vyema pia akumbuke haya:

1. Ni juzi ametoka kumtukana mtu mzima mtumishi ATCL anatakiwa kujitafakari sana.

2. Ni juzi tu amekuwa nahesabu pesa kwa madaharau akiwa na huyo Tanasha bibi mpya anatakiwa kujitafakari.

3. Amechezea wanawake wazuri mno na kuwadhalilisha baadaye. Hii ni kwa sababu ya Nguvu ya Pesa. WANAWAKE hao hata kama wana move on but bado mioyo yao imejeruhiwa na wengine wameshataki kwa Mungu - ajitafakari pia.

4. Nilivyofundishwa Mimi ni kwamba wako wanawake/wanaume wa Baraka. Kuna ambao ukioa ni Mikosi tu na mwishowe utafilisika. Ajiangalie upya na mahusiano mapya hayo.

5. Ana mahusiano mabaya na baba Mzazi. Hapo juzi kati aliomba hata amkatie bima ya afya tu. Ajitafakari hapa.

Kifupi Maadui wa Mondi wako wengi mno na mbaya zaidi usicheze na SERIKALI.

Kila la heri Mondi ila uwe makini mno. Kuna Rise and Fall. Ni kazi ngumu sana kupanda ila it is a matter of minutes to fall and breaks completely.
Mkuu maneno kuntu hayo
 
Back
Top Bottom