Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mnaunganisha tena na ile chain ikiyoibiwa Mtwara? Wako waliosema ilikuwa na ndumba pia. Mimi sijui maana kwetu hakuna mambo haya. Ila niseme tu machache kuwa ni vyema pia akumbuke haya:
1. Ni juzi ametoka kumtukana mtu mzima mtumishi ATCL anatakiwa kujitafakari sana.
2. Ni juzi tu amekuwa nahesabu pesa kwa madaharau akiwa na huyo Tanasha bibi mpya anatakiwa kujitafakari.
3. Amechezea wanawake wazuri mno na kuwadhalilisha baadaye. Hii ni kwa sababu ya Nguvu ya Pesa. WANAWAKE hao hata kama wana move on but bado mioyo yao imejeruhiwa na wengine wameshataki kwa Mungu - ajitafakari pia.
4. Nilivyofundishwa Mimi ni kwamba wako wanawake/wanaume wa Baraka. Kuna ambao ukioa ni Mikosi tu na mwishowe utafilisika. Ajiangalie upya na mahusiano mapya hayo.
5. Ana mahusiano mabaya na baba Mzazi. Hapo juzi kati aliomba hata amkatie bima ya afya tu. Ajitafakari hapa.
Kifupi Maadui wa Mondi wako wengi mno na mbaya zaidi usicheze na SERIKALI.
Kila la heri Mondi ila uwe makini mno. Kuna Rise and Fall. Ni kazi ngumu sana kupanda ila it is a matter of minutes to fall and breaks completely.
"Inasemekana",hili neno linaonesha umbeya,chuki juu ya kijana wa watu Diamond si msanii wa kwanza kudondoka kwenye jukwaa hata uko ulaya wasanii wanadondoka mara kibao.Inasemekana kwamba pale jukwaa lilipoanguka ndo shimo/kaburi,na kilichotoka pale nï kivuli au msukule,ila diamond tayari yuko kuzimu sumbawanga
COME OOOON MAN!Engineer soma huko. Soma wewe engineer...!
Ngapi huko...?
Kwa mujibu wa wazee au wewe??Anazo,na mkosi mkubwa unakuja,mmoja wa wana WCB atakamatwa na mzigo exit point, hii itawachafua wote au kufanya wakae ndani muda mrefu,hii ni kwa mujibu wa wazee na tafsiri yao ya kudondoka shimoni pale jukwaani
Unamuonaje..bi Samira.? aka Sandra?Inasemekana kwamba pale jukwaa lilipoanguka ndo shimo/kaburi,na kilichotoka pale nï kivuli au msukule,ila diamond tayari yuko kuzimu sumbawanga
Kwani Dai kazaliwa peke yake na huyo baba?? mbona anamsakama sana wakati hakuwa hata na habari naye alivyokuwa mdogo?Kwa hiyo mnaunganisha tena na ile chain ikiyoibiwa Mtwara? Wako waliosema ilikuwa na ndumba pia. Mimi sijui maana kwetu hakuna mambo haya. Ila niseme tu machache kuwa ni vyema pia akumbuke haya:
1. Ni juzi ametoka kumtukana mtu mzima mtumishi ATCL anatakiwa kujitafakari sana.
2. Ni juzi tu amekuwa nahesabu pesa kwa madaharau akiwa na huyo Tanasha bibi mpya anatakiwa kujitafakari.
3. Amechezea wanawake wazuri mno na kuwadhalilisha baadaye. Hii ni kwa sababu ya Nguvu ya Pesa. WANAWAKE hao hata kama wana move on but bado mioyo yao imejeruhiwa na wengine wameshataki kwa Mungu - ajitafakari pia.
4. Nilivyofundishwa Mimi ni kwamba wako wanawake/wanaume wa Baraka. Kuna ambao ukioa ni Mikosi tu na mwishowe utafilisika. Ajiangalie upya na mahusiano mapya hayo.
5. Ana mahusiano mabaya na baba Mzazi. Hapo juzi kati aliomba hata amkatie bima ya afya tu. Ajitafakari hapa.
Kifupi Maadui wa Mondi wako wengi mno na mbaya zaidi usicheze na SERIKALI.
Kila la heri Mondi ila uwe makini mno. Kuna Rise and Fall. Ni kazi ngumu sana kupanda ila it is a matter of minutes to fall and breaks completely.
Ndiyo hivyo tena. Kaona amefanikiwa ndiyo anaona ni mtu. Ila kwa kuwa ni Mzazi amsamehe tu ampe msaada kwa kuwa uzee nao umeenda. Tena wema uende zako.Kwani Dai kazaliwa peke yake na huyo baba?? mbona anamsakama sana wakati hakuwa hata na habari naye alivyokuwa mdogo?
Ana mayatizo sana huyo mzee...
Kasahau??
Entrepretenyuu!!! entrepretanyuu!!! hiyo hiyo!!!Engineer soma huko. Soma wewe engineer...!
Ngapi huko...?
Mzee unafeli sana hapa.... hivi ruge kampromoti diamond au kipaji chake mond ndo kimembeba? Mbona hatuoni anayoyafanya mond kwa vijana waliokulia pale THT? Wakina barnaba, amini, linah, nandy, na wengine kibao... Na usinambie kuwa matangazo ya kule clouds ndo yamembust mond... ukweli ni kwamba clouds imeanza kusikilizwa sana na watu baada ya kuanza kufanya kazi na diamond... na umaarufu imeupata kipindi hichi cha mond akiwa tayari na jina... na km ukitaka uone haya niyasemayo, iangalie clouds ya leo na ile ya miaka miwili nyuma... ni tofauti kabisa. Siku hiz hakuna interview ambayo clouds watafanya ikafanya karibia nusu ya watu nchini waisubilie km kipindi kile cha mond.... Afu na kuhusu dudubaya nakataa kabisa kuwa katumwa au anatumiwa na diamond... dudubaya kuambatanishwa kwenye wasafi festival sio kigezo cha kuwa kila anachoongea basi katumwa... dudubaya alibebwa kisa ile kiki yake ya konki master ambayo wasafi waliitumia katika matangazo yao na isingekuwa busara wasimweke muasisi wa hiyo slogan...Kinachonishangaza kuhusu diamond ni kumbeba dudu baya, na anamtumia kumuombea mabaya ruge ikiwemo kifo!Nimejiuliza sana,kumbe ruge amemdhulumu pia diamond?
Mi nilimchukia ruge kwa kumpromote mtu aliye na kipaji cha kawaida tu kama diamond na kuwaacha baadhi ya vijana wenye vipaji vya kweli!
Ajabu Leo diamond anafurahia kuona ruge anaombewa kifo na dudu baya!Kweli ubinadamu kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Povu!Hamnaga vitu kama hvyo bhana.... na aslay alipodondoka kenya ilikuwa dalili ya nini? Mbona ile ya kudondoka sumbawanga ilisababishwa na kurukaruka mpka wakalisababishia tension jukwaaa? Basi tuseme kwa lugha nyepesi... ongea nao hao wazee nawe wakupe nyota ya kufikia hata nusu ya umaarufu wa diamond....
Acheni kuropoka tu ilimradi, dogo ni haso zake binafsi na km n uchawi basi ni ule wa kujilinda kutoka kwao kigoma lakin hauhusiani na mafanikio yake... kwan wangapi wana uchawi lakin hawafikii level za diamond?