#COVID19 Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona


Nchi gani ambayo haipotezi watu tuhamie huko?
 
Ys ,non sense question..

Zitto ametoa takwimu za RITA.

2019 vifo recorded vilikuwa 35k
2020 vifo vilipanda hadi 110k (Vimepanda baada ya kuingia uviko).
Kama unamwamini Zitto utakuwa unamatatizo kwenye ubongo wako in such that hauwezi kuchakata mambo in other words huna akili timamu!!
 
Kama unamwamini Zitto utakuwa unamatatizo kwenye ubongo wako in such that hauwezi kuchakata mambo in other words huna akili timamu!!

Kweli wewe akili kisoda ,Zitto amepewa taarifa kutoka RITA siyo yeye ndio kazichakata.
 
Nchi gani ambayo haipotezi watu tuhamie huko?


"Nchi gani haipotezi watu kipumbavu?" Ingependeza zaidi:




Kuna tofauti kubwa baina ya kupoteza watu na kupoteza watu kipumbavu:

 
Vipi ndugu zako wamepukutika wangapi mkuu?

Aliyepiga marufuku takwimu kutolewa hadharani alidhani kwa ujinga wake atatuweka busy kuulizana huo upumbavu wako.

Huo peleka Lumumba kwa pole pole na Gwajiboy.
 
Jombi kawaambie hayo ndege.

Sikuhitaji kwa lolote!

Ninakazia: usinitishe.

(In bold uione vizuri).

Una matatizo! Vitisho viko wapi hapa? Au hujui hata maana ya neno kutisha?

Nyie ndiyo wale tough-talking keyboard warriors!
 
Chanjo ni suluhisho kama jitihada za kuzuia variants mpya za kirusi hiki zipo na zinafanya kazi, na pia kama jitihada zina fanyika kuzuia variants mpya kuzalishwa ndani ya nchi.

Kumbuka chanjo hii inayotolewa ni mahsusi kwa variant iliyopo sasa.
Variant mpaka sasa washakuwa watano huu ugonjwa bhn
 
Huna lolote wewe dalali wa machanjo.

Huku mtaani hakuna cha corona wala nini.
Nimezika ndugu wawili wiki ya jana na wiki hii kwa corona. mmoja tumezika Ununio na makaburi yote yaliyokuwepo ni ya mwaka huu kuanzia Januari na n mengi sana. Nilijiuliza kwa nini wote wamezikwa sehemu moja hawajachanganywa na wa miaka mingine. Nikahisi labda serikali inataka takwimu. Wewe huamini nahisi hujafiwa na ndugu yeyote kw ugonjwa huu. Sisi tuliofiwa lazima tuchukue hatua. Una bahati sana. Yaani hata jirani yako hajafa kwa covid! mimi nimefiwa na majirani pia.
 
Mkuu sikiliza wataalamu. Covid 19 inaua especially immunity ikiwa ndogo. Mgonjwa anakuwa na immunity ndogo hivyo akipata virusi vya covid 19 kupona ni ngumu. Atapata yale matatizo ya kushambiliwa mapafu, damu kuganda, kushindwa kupumua nk. na hatimaye mgonjwa atakufa tu. Wasikilizeni wataalamu msipuuzie, ugonjwa unatisha. Tembelea makaburi ya Ununio ukajionee mwenyewe watu waliozikwa hapo. Achana na wanaosafirishwa kwaenda kuzikwa makwao!!!
 
Nakubaliana na wewe mkuu. Serikali haitutendei haki kwa kutuongezea mzigo. Petroli inapanda kila kukicha, na tozo wanasema zipo kisheria. Wanatunga sheria kandamizi halafu wanajidai ipo kisheria!!! Mungu anawaona. Tozo tutazigomea kwa kutotuma miamala lakini petroli na kodi nyingine hatuna jinsi ya kuzikwepa!!!1
 

Miamala hiyo imo ndani ya uwezo wetu moja kwa moja.

Ninadhani hata nyuzi na comments za misukule yao kokote iliko kulikuwa na haja ya kuwaachia wabakie nayo wenyewe. Yaani wabakie na m@vi yao kwa maana yake halisi:

 
Mkuu unachekesha sana!!!! Naona umekasirika sana. Hunifikii mimi!!!!
 
Haisaidii kukaa kimya:

View attachment 1886852

Apumzike kwa amani Mwalimu Nyerere.
The best President we ever had!!!! Tulipokuwa naye hatukuona uzuri wake hadi alipokufa!!! Nilimlilia sana. RIP the only president who truly loved his people!!!! Hakujilimbikizia mali, hakujilipa mshahara mkubwa, hakuvunjia watu nyumba zao, nk. Aliweka maslahi ya watanzania mbele kuliko kitu chochote siyo barabara, sgr etc. Alijenga viwanda vingi vikaajiri watanzania wengi waliosoma na wasiosoma!!!! Yaani hatupati tena raisi kama huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…