CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,048
Upo mtaa gani?Unaishi mtaa gani?
Mtaani kwetu kila siku mjumbe anapita kudai buku mbili za misiba
Upo mtaa gani?
Nipo tayari kuja kufanya utafiti.
Kwanini watu mnapenda kukuza mambo?
Hivi watu 2000 unadhani ni chapati?
Nchi hii tulivyo ki ndugundugu si tungekua tunapishana misibani?
Acheni ndugu zangu. Siku Mungu akiamua tufe hao buku 2 sijui mtakimbilia wapi.
Makabachori kule India walianza kwa kusema hivyohivyo. Takwimu za kupikwa. Mpaka kuni zakuchoma maiti zilipowaishia ndipo walipojua kwamba huyu mdudu Corona Hana masihara.Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!
Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.
Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.
Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini
Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.
Tumepuuza tiba asili, ooh sijui sayansi imeenda imerudi. Pigeni ndimu, malimao, asali plus nyungu.
Makabachori kule India walianza kwa kusema hivyohivyo. Takwimu za kupikwa. Mpaka kuni zakuchoma maiti zilipowaishia ndipo walipojua kwamba huyu mdudu Corona Hana masihara.
Kweli kabisa mkuu. They learned the hard way. Yaani pale kwa uchache ni kama watu million 2 wamepoteza maisha.Ujinga nao ni kama mzigo wa kuni tu nao hubebwa vichwani mwa watu vile vile.
View attachment 1886249
Hata hivyo India leo wanaweza kuwa na nafuu kuliko sisi.
Acha kejeri mkuu huu ugonjwa unamaswali mengi sana na mtindo wa maisha yetu je unadhani chanjo ndio suruhisho?
We ndio mjinga namba moja kabisa.Acha ujinga, usiingilie vitu usivyovijua.
Na wewe ni mjinga namba mbili, upo hapo?We ndio mjinga namba moja kabisa.
Boss, nimesema kwa kuuliza kama shughuli za mwenge zinaendelea au la, lengo ni kuongeza taharuki kwakuwa taarifa sahihi ni kuwa watu wanaendelea na hizo shughuli.Wanaotishwa watoto wadogo tena wasiopenda kunywa uji?
Kutishwa maana yake nini? Mbona kujidhalilisha hivyo?
Kweli kabisa mkuu. They learned the hard way. Yaani pale kwa uchache ni kama watu million 2 wamepoteza maisha.
Na wewe ni mjinga namba mbili, upo hapo?
Weka picha zaidi, moja haitoshi.
Wataalamu wanasema vifo kadhaa kwa wiki, hoja ni kujua kama hii pandemic inakimbiza watu wengi zaidi kaburini kwa siku kuliko ugonjwa mwingine! Maana kama yapo, basi twende mdogo mdogo kwenye kutatua hiliIli kujua mwenendo wa vifo vya corona hatuhitaji taarifa za vifo vya magonjwa mengine. Tofauti corona ni maambukizi makuu ya umma (pandemic contagion) yasiyo na tiba wala dawa. Usipochukua hatua za haraka yanaongezeka kwa kasi.
Cha maana ni hospitali kuthibitisha vifo vinavyosababishwa na uwepo wa Covid-19 na kutoa takwimu za mwenendo (trend) ili tuone kwanza, kama vipo au havipo. Pili, kama vinaongezeka, kasi yake au vinapungua. Tatu, hatua zipi zinaonyesha ufanisi mkubwa kupunguza, maambukizi, na vifo
Jana Mh. Zitto Kabwe akiongea na wanahabari, aliweka wazi takwimu za vifo vinavyosababishwa na Covid 19 kwa sasa nchini mwetu, na kwamba kwa sasa ni vifo 509 kwa wiki, ikimaanisha ni wastani wa vifo 73 kwa siku.
Takwimu hizi zinafahamika kwa watawala, maana chanzo chake ni kwenye mamlaka za Serikali, ikiwemo Wizara ya Afya, lakini wote wamepatwa na kigugumizi kuziweka wazi kwa kuhofia aibu watakayoipata baada ya muda mrefu kutangaza kuwa Covid 19 haipo Tanzania au ipo kidogo sana. Lakini wasichojua ni kuwa mficha maradhi, kilio humwumbua.
Ifahamike kuwa hivi ni vifo vilivyothibitika kwenye hospitali, bado wale wanaofia majumbani na kwenye zahanati. Na hili halishangazi, linaonekana wazi kutokana ja kuwepo taarifa za misiba kila mahali, na kila siku.
Kwa wastani wa vifo 73 kwa siku, Tanzania itakuwa ndiyo inayoongoza kwa vifo vya Covid 19 barani Afrika, na ya tatu Duniani baada ya Mexico (vifo 172) na Thailand yenye (vifo 149) kwa mujibu wa takwimu za leo.
Yaani wakati Dunia ikishuhudia kupungua kwa kiwango kikubwa cha vifo vinavyosababishwa na Covid 19, Tanzania inapaa kwa mwendo wa ajabu kwa vifo vya Covid 19. Haitachukua muda, kwa namna tunavyoenda, Tanzania itaongoza kwa vifo vya Covid 19 Duniani.
Kila mwenye akili achukue tahadhari, mjinga ataangamia na ataangamiza wengine kwa ujinga wake.
Tunawomba Mungu akaweke baraka katika jitihada tunazozifanya kwa dhamira.
Wataalamu wanasema vifo kadhaa kwa wiki, hoja ni kujua kama hii pandemic inakimbiza watu wengi zaidi kaburini kwa siku kuliko ugonjwa mwingine! Maana kama yapo, basi twende mdogo mdogo kwenye kutatua hili
Boss, nimesema kwa kuuliza kama shughuli za mwenge zinaendelea au la, lengo ni kuongeza taharuki kwakuwa taarifa sahihi ni kuwa watu wanaendelea na hizo shughuli.
Vipi umeshaenda kumsalimia Gaidi Mbowe Segerea?Utopolo alileta yule aliyepumzika Chatto.
View attachment 1885647
Bila yeye wengi wangekuwa hai.
Alaaniwe yeye na washirika wake.
Vipi ndugu zako wamepukutika wangapi mkuu?Yaani ndio akili za wana lumumba ,ukiwaambia watu wanapukutika kwa corona wao wanajibu mbona wewe hujafa?