#COVID19 Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona

#COVID19 Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona

Guys Corona ipo na ina ua challenge tuliyonayo ni aina ya maisha tuliyo nayo mungu atatuvusha tu japo Tanzania haijatuathiri sana viongozi wasitumie mwanya wa kuongeza hofu sana
 
Nadhani wewe (kama alivyo Zitto) huyajui mapigo ya COVID-19. Ungekuwa unayajua usingeshangaa vifo 2,000 kwa mwezi kwenye nchi yenye population ya watu takribani 60 million. Hiyo ni death toll ya siku moja kwenye baadhi ya nchi zenye population kama yetu!

Kwamba?

"Hiyo ni death toll ya siku moja kwenye baadhi ya nchi zenye population kama yetu!"

Nchi gani hizo?

Nchi zingine kama sisi:

IMG_20210808_162847_606.jpg


IMG_20210808_162907_713.jpg

IMG_20210808_162931_514.jpg

Bado unadhani ni sawa kwa sababu hujaguswa?

Kwani upumbavu utakuwa ni nini basi?
 
Sawa, naomba unitoe upuuzi huo kwaku kunionyesha chanzo cha takwimu za Zitto kilicho wazi. Natanguliza shukrani.

Kwenye mada (a) na (b) imeelezwa au unataka hadi mtu akusomee kwa sauti?

Ndiyo maana unapuuzwa.
 
Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!

Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.

Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.

Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini

Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.
Ukiwa na tb, cancer, kisukari, pressure etc ukipata corona huchomoki. Na wengi wanokufa ni kwa sababu ya matatizo uliyoyataja ila chanzo cha kifo ni corona kuingia mwilini. Nina ndugu wawili wamekufa kwa design hii wiki nya jana tu!. Huu ugonjwa upo tusiupuuze. Tatizo ninaliliona ni jinsi serikali ilivyo downplay huu ugonjwa mwaka jana na ikaacha kutoa takwimu hivyo watanzania hatujui idadi halisi ya ndugu zetu waliokufa kwa ugonjwa huu. Iliaminisha watu kuwa chanjo ni fake na ni njama za mabeberu kutumaliza. Sasa hivi hiyo hiyo serikali inakuja na msimamo mwingine kuwa chanjo ni salama na kuwa tusikilize wana sayansi wakati mwaka jana iliwadownplay sana wanasayansi. Ndugulile peke yake alisimama na sayansi na akaishia kutumbuliwa. Sasa hivi hili suala ni la mtu binafsi kuamua anataka kuishi au lah! Afanye nini, ni juu yake. Ila ugonjwa upo na unatisha. Actually haujawahi kuondoka ulikuwepo tu ila takwimu zilikuwa hazitolewi!!!
 
Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!

Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.

Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.

Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini

Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.
Corona anasingiziwa sana!
 
Ukiwa na tb, cancer, kisukari, pressure etc ukipata corona huchomoki. Na wengi wanokufa ni kwa sababu ya matatizo uliyoyataja ila chanzo cha kifo ni corona kuingia mwilini. Nina ndugu wawili wamekufa kwa design hii wiki nya jana tu!. Huu ugonjwa upo tusiupuuze. Tatizo ninaliliona ni jinsi serikali ilivyo downplay huu ugonjwa mwaka jana na ikaacha kutoa takwimu hivyo watanzania hatujui idadi halisi ya ndugu zetu waliokufa kwa ugonjwa huu. Iliaminisha watu kuwa chanjo ni fake na ni njama za mabeberu kutumaliza. Sasa hivi hiyo hiyo serikali inakuja na msimamo mwingine kuwa chanjo ni salama na kuwa tusikilize wana sayansi wakati mwaka jana iliwadownplay sana wanasayansi. Ndugulile peke yake alisimama na sayansi na akaishia kutumbuliwa. Sasa hivi hili suala ni la mtu binafsi kuamua anataka kuishi au lah! Afanye nini, ni juu yake. Ila ugonjwa upo na unatisha. Actually haujawahi kuondoka ulikuwepo tu ila takwimu zilikuwa hazitolewi!!!

Ila unasimama vipi peke yako:

"Sasa hivi hili suala ni la mtu binafsi kuamua anataka kuishi au lah! Afanye nini, ni juu yake."

Wakati serikali haina habari:

1. Ikiendelea kuwakamua wananchi kwa kuwaongezea kodi na tozo mbalimbali ndani ya gonjwa hili.
2. Ikiendelea kuwakamua wananchi kwa kuwatelekezea mzigo wa matibabu wa gonjwa hili kila linapowasibu.
3. Ikiendelea kuufanyia siasa ugonjwa huu kwa kuendelea kuficha takwimu zake.
4. Ikiendelea kutokufanya jitihada za kutosha kuwanusuru watu na ugonjwa huu.


Yako mengi ambavyo kwa hakika pamoja na kila kitu, kwa mwenendo wa serikali hii kwa hakika hatutoboi.
 
Nmekuja hapa chuoni kuchkua cheti na nmekua hapa kwa wiki moja, nmeshuhudia vifo vya maprofesa watatu ndani ya wiki moja, na mmoja kafariki leo asubui. Anasema data za kupika asubir siku wakidondoka ndugu zake ndo ataamini. Ofkoz hali sio nzuri.
Watu wanatamani kukimbia mikataba yao waache kufnya kaz za kuhudumia public,
Upo sahihi sana. Hali ni mbaya sana. Kila unakopita unaambiwa habari za misiba. Jana jirani yangu amefiwa na mlinzi wake ghafla kwa tatizo la upumuaji. Nimeenda kwa mtu ambaye nimeelekezwa ndiye ana bidhaa ninayoihitaji. Nafika, anafunga duka, anasema ndugu yake amefariki ghafla.
 
Corona anasingiziwa sana!

Ukitaka kujua kuwa hasingiziwi zingatia:

1. Tofauti ya takwimu za vifo 2019 na 2020.
2. Tambua jitihada za serikali kuficha takwimu za Corona Apr 2020.
3. Zingatia idadi ya misiba uliyoisikia wewe kuhusiana na Corona ndani ya mwezi mmoja.
4. Jiulize "nane nane" inafanyika lini?
5. Mbio za mwenge zimefika wapi?
6. Kumbuka tuko ushetu kwa mazishi bila kusahau:

IMG_20210805_083950_902.jpg


Ukimaliza tafuta wa kwako wa kusingizia.
 
Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!

Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.

Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.

Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini

Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.
Uko sahihi
 
Mkuu mwenge umekimbizwa Mpwapwa wiki iliyopita
Ukitaka kujua kuwa hasingiziwi zingatia:

1. Tofauti ya takwimu za vifo 2019 na 2020.
2. Tambua jitihada za serikali kuficha takwimu za Corona Apr 2020.
3. Zingatia idadi ya misiba uliyoisikia wewe kuhusiana na Corona ndani ya mwezi mmoja.
4. Jiulize "nane nane" inafanyika lini?
5. Mbio za mwenge zimefika wapi?
6. Kumbuka tuko ushetu kwa mazishi bila kusahau:

View attachment 1885941

Ukimaliza tafuta wa kwako wa kusingizia.
 
Upo sahihi sana. Hali ni mbaya sana. Kila unakopita unaambiwa habari za misiba. Jana jirani yangu amefiwa na mlinzi wake ghafla kwa tatizo la upumuaji. Nimeenda kwa mtu ambaye nimeelekezwa ndiye ana bidhaa ninayoihitaji. Nafika, anafunga duka, anasema ndugu yake amefariki ghafla.

Hawana jina zaidi ya kuwaita kuwa ni wapumbavu waliojificha hawa:

IMG_20210718_063455_991.jpg


kama ni watu na kama wanadhani inawasaidia kutokuonekana.
 
Hameni Huko wanakokufa kila siku !! Ila mimi nakokaa na home nilikozaliwa kila siku naongea nao hakuna hiyo misiba!!
Mtu analeta reference et angalia taarifa za vifo Facebook WTF
 
Kwenye mada (a) na (b) imeelezwa au unataka hadi mtu akusomee kwa sauti?

Ndiyo maana unapuuzwa.
Sawa: Nimerudia mara mbili kusoma hivyo vipengele kisha kufuatilia vyanzo vya habari anavyodai kutumia Zitto kupata takwimu hizo kabla ya kuuliza.

(a) unasema alitumia E-huduma. Nimeenda kwenye ukurasa wa E-huduma ambao upo kwenye mtandao wa RITA, sijapata takwimu hizo. Link hii hapa.

E-Huduma

(b) unasema serikali ni chanzo. Nimeenda kwenye mtandao wa serikali pia huko sikupata takwimu hizo. Link hii hapa


Sasa nielekeze vizuri hizo data zipo wapi ? Ni rahisi tu hivyo, Mkuu, ili ufanikiwe kunitoa upuuzi wangu.
 
Hawana jina zaidi ya kuwaita kuwa ni wapumbavu waliojificha hawa:

View attachment 1885942

kama ni watu na kama wanadhani inawasaidia kutokuonekana.

Hiyo misiba inatokea wapi? Kwahiyo waziri akifa na baba ake akafa ndio ina-justify kwamba watu wanakufa sana ?

Na vipi hapo kabla tz ilikuwa peponi watu walikuwa hawafi?
Acheni upumbavu .
 
Hameni Huko wanakokufa kila siku !! Ila mimi nakokaa na home nilikozaliwa kila siku naongea nao hakuna hiyo misiba!!
Mtu analeta reference et angalia taarifa za vifo Facebook WTF

Hata ushetu wanakoishi kuna Kuandikwa misiba hii 2 imeletwa tokea Dar.

IMG_20210805_083950_902.jpg


Tofautisha mijini na kwenu Nguruka.
 
Guys Corona ipo na ina ua challenge tuliyonayo ni aina ya maisha tuliyo nayo mungu atatuvusha tu japo Tanzania haijatuathiri sana viongozi wasitumie mwanya wa kuongeza hofu sana

Kwa hakika hata huyu Mungu atamvusha:

IMG_20210718_063455_991.jpg


na chui ajaye wala hatamwona.
 
Ukiwa na tb, cancer, kisukari, pressure etc ukipata corona huchomoki. Na wengi wanokufa ni kwa sababu ya matatizo uliyoyataja ila chanzo cha kifo ni corona kuingia mwilini. Nina ndugu wawili wamekufa kwa design hii wiki nya jana tu!. Huu ugonjwa upo tusiupuuze....
Unaposema kuipata una maana gani ni kuumwa corona au kuwa na virusi tu vya corona? nauliza hivyo kwa sababu kuna tofauti kati ya kufa kwa corona na kufa ukiwa na corona hivyo kuwa corona postive haina maana ukifa ni covid tu. Na kuna utata sana kwenye kujua chanzo kilichosababisha kifo.
 
Back
Top Bottom