Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Uyo zitto kashapewa Fungu lake, hana mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Not apple-to-apple comparison.
Utasemaje sijaguswa ilihali hunijui na sikujui?
Hapo hapo chuoni ndo pa kuanzia na takwimu za vifo vya corona.
Vipi wanachuo wao hawafi kwa corona ni maprofesa tu ?
Mie nitaungana na njia alizotumia Magu kupambana hili dude la kupikwa.
Kwa nchi hii hali ingekuwa mbaya zaidi kwenye mashule yetu na vyuo, lakini hakuna vifo.
Hiyo tb na kansa imekuwepo leo? Kwanini wafe kwa wingi kipindi hichi?Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!
Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.
Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.
Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini
Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.
Uyo zitto kashapewa Fungu lake, hana mpya
Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!
Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.
Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.
Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini
Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.
Nimeipenda picha ya MbuniJambo la kheri kuwa sherehe za nane nane zimefutwa kimya kimya.
Juzi kati Mwenge wa Uhuru ulikuwa Morogoro nao kimya kimya.
View attachment 1885518
Mambo ya mbuni yametufikisha hapa.
View attachment 1885424
---- extracts tokea kwake Zitto Kabwe.
Kwamba tunapoteza watu si chini ya 2,000/mwezi kwa Corona. Hali hii si ya kufumbiwa macho.
Wanaokufa katika hali hizi zinazoweza kuzuilika ni watu kama wewe na miye.
Kwamba hajawajibika mtu hadi leo kwa hali hii, kwa hakika haikubaliki.
Ni ugonjwa wa COVID 19 pekee duniani uliowahi kutangaza vifo vya watu kila siku. Malaria, kansa, shinikizo la damu, vifo wakati wa kujifungua n.k havijawahi kutangazwa ingawa tulikuwa tukizika wapendwa wetu kama kawaida
Hivi ni kweli kwamba China watu hawafi tena?
Za kuambiwa changanya na za kwako.
Unaongeaga ushuzi mbaya.....Utopolo alileta yule aliyepumzika Chatto.
View attachment 1885647
Bila yeye wengi wangekuwa hai.
Alaaniwe yeye na washirika wake.
Nimeipenda picha ya Mbuni
Askofu Rashid ni bonge la msanii hadi raha, hivi kwanini hakumbushwi kuhusu ile treni?Anamsubiri Mungu amvushe huku chui wenye njaa wanakuja nyuma.
Askofu Rashid kayapata misukule mingi ya kumwaga!
kwa hyo hamtaki watu wafe[emoji15] sa tutaendaje mbinguni kama tusipokufa mazee
Mtaaani wapi broo huko unakozungumzia.makaburi yapi hayo unayoyazungumzia?Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!
Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.
Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.
Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini
Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.
Nitoke vipi
Njia yake ya kujipatia kipato kwa kisingizio cha watu kufa,kufa kufaanaUnaishi mtaa gani?
Mtaani kwetu kila siku mjumbe anapita kudai buku mbili za misiba
Lengo ni kutishana tu na mnajua mnavyonufaika na hii promo.Komaa hivyo hivyo:
View attachment 1886044
Lengo la mada wala si kujaribu kukushawishi wewe. After all, who are you?
Lengo la mada ni kuweka wazi tulipo ndani ya jitihada ovu za kuficha yaliyo kweli.
Kufa kwanza wewe ndo tujue korona inaukubwa gani ,maana mnakomaaa kama vile watu walikuwa hawafi hapo nyuma ,korona ipo lakini mnajaribu kuikuza mpaka watu waogope kwenda kufanya shughuli zao.mbona nyinyi hamfi kila siku tunawaona jf .