#COVID19 Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona

#COVID19 Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona

Huko Kilimanjaro hata pakuzikia tena hakuna halafu jitu linakuja hapa eti uongo uongo huo Kwiyo? nyambaf mlishaambiwa za kuambiwa changanya na zako, nyie shupaeni tu na waziri wao wa jeshi ndio anazikwa leo alikopitishwa hata kufunuliwa hairuhusiwi halafu limtu linakuja hapa eti ooh hakuna ugonjwa stupid kabisa
 
Not apple-to-apple comparison.

Utasemaje sijaguswa ilihali hunijui na sikujui?

Unajua tofauti ya kusema na kuuliza? Au alama hii (?) kwenu haina maana yoyote?

IMG_20210721_112817_344.jpg


Au ni mashindano ya kuonyesha mu watupu kiasi gani vichwani?
 
Pamoja na hayo bado Gwajima ana kundi la misukule yake inayoamini ikifa kwa kutochanjwa itafufuliwa nae.
 
Hapo hapo chuoni ndo pa kuanzia na takwimu za vifo vya corona.

Vipi wanachuo wao hawafi kwa corona ni maprofesa tu ?

Mie nitaungana na njia alizotumia Magu kupambana hili dude la kupikwa.
Kwa nchi hii hali ingekuwa mbaya zaidi kwenye mashule yetu na vyuo, lakini hakuna vifo.

Komaa hivyo hivyo:

IMG_20210809_112803_943.jpg


Lengo la mada wala si kujaribu kukushawishi wewe. After all, who are you?

Lengo la mada ni kuweka wazi tulipo ndani ya jitihada ovu za kuficha yaliyo kweli.
 
Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!

Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.

Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.

Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini

Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.
Hiyo tb na kansa imekuwepo leo? Kwanini wafe kwa wingi kipindi hichi?
 
Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!

Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.

Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.

Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini

Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.

Data za vifo vya “Covid-19 complications” zinapatikana hospitali wanakofia wagonjwa sio makaburini. Usitembelee makaburi. Tafuta mahospitalini utapata.

Huwezi kumtambua aliyekufa kwa Covid-19 kwa kumtizama kwa macho anapozikwa kaburini. Labda kama una karama maalum.
 
Jambo la kheri kuwa sherehe za nane nane zimefutwa kimya kimya.

Juzi kati Mwenge wa Uhuru ulikuwa Morogoro nao kimya kimya.

View attachment 1885518

Mambo ya mbuni yametufikisha hapa.

View attachment 1885424

---- extracts tokea kwake Zitto Kabwe.

Kwamba tunapoteza watu si chini ya 2,000/mwezi kwa Corona. Hali hii si ya kufumbiwa macho.

Wanaokufa katika hali hizi zinazoweza kuzuilika ni watu kama wewe na miye.

Kwamba hajawajibika mtu hadi leo kwa hali hii, kwa hakika haikubaliki.

Nimeipenda picha ya Mbuni
 
Ni ugonjwa wa COVID 19 pekee duniani uliowahi kutangaza vifo vya watu kila siku. Malaria, kansa, shinikizo la damu, vifo wakati wa kujifungua n.k havijawahi kutangazwa ingawa tulikuwa tukizika wapendwa wetu kama kawaida
Hivi ni kweli kwamba China watu hawafi tena?

Za kuambiwa changanya na za kwako.

Hujui kwanini kutangaza vifo vya covid ilikuwa ni muhimu na wala si kwa magonjwa hayo uliyoyataja? Seriously?!

Iko hivi, kwa matumizi ya takwimu hizo India na huko China hali iko hivi hatimaye:

IMG_20210808_181807_546.jpg




IMG_20210809_113823_987.jpg


Kujibu swali lako China na ukubwa wake Corona leo si tatizo tena na watu hawafi tena kwa ugonjwa huu.

Wewe endelea kumsikiliza nabii wako askofu Rashid atakuvusha.
 
Anamsubiri Mungu amvushe huku chui wenye njaa wanakuja nyuma.

Askofu Rashid kayapata misukule mingi ya kumwaga!
Askofu Rashid ni bonge la msanii hadi raha, hivi kwanini hakumbushwi kuhusu ile treni?
 
kwa hyo hamtaki watu wafe[emoji15] sa tutaendaje mbinguni kama tusipokufa mazee

Swali zuri kwa wanaotusomea risala kujinasibu walivyoimarisha huduma za afya kwa kujenga hospitali za rufaa na vituo kadhaa vya afya, kujaza madawa na vifaa tiba mahospitalini; kuanza huduma za kibingwa za moyo, figo, n.k.

Hawataki tufe tu?
 
Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!

Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.

Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.

Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini

Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.
Mtaaani wapi broo huko unakozungumzia.makaburi yapi hayo unayoyazungumzia?
 
Komaa hivyo hivyo:

View attachment 1886044

Lengo la mada wala si kujaribu kukushawishi wewe. After all, who are you?

Lengo la mada ni kuweka wazi tulipo ndani ya jitihada ovu za kuficha yaliyo kweli.
Lengo ni kutishana tu na mnajua mnavyonufaika na hii promo.

Watanzania wa leo wala wasingehitaji mikwala yote hii kama vifo vingekuwa vingi vya corona mpaka sehemu za kuzikana zinakosekana!!
 
Kufa kuko palepale msitake kusingizia corona. Ni upagani wa hali ya juu kutokujua kwamba kama unaishi utakufa/kunyakuliwa kwa utaratibu Mungu aliokupangia. Kama alikupangia kufa kwa corona hata ujichanje hadi kichwani utakufa tu kwa hiyo corona. Tusitishane tafutene utaratibu mwengine wa kupiga fedha za hao wenye corona yao, msicheze na maisha ya Watanzania
 
Kufa kwanza wewe ndo tujue korona inaukubwa gani ,maana mnakomaaa kama vile watu walikuwa hawafi hapo nyuma ,korona ipo lakini mnajaribu kuikuza mpaka watu waogope kwenda kufanya shughuli zao.mbona nyinyi hamfi kila siku tunawaona jf .

Miye nilishakufa tangia yule mpumbavu alipotuletea upumbavu huu:

IMG_20210806_053407_437.jpg


na kuiaminisha mipumbavu upumbavu huo hadi leo.

Huko ndiko kufa kishujaa kwa niaba ya wapendwa wako na hata usiowajua wakiwamo wapumbavu pia.
 
Back
Top Bottom