tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,323
Kichwa habari kiko clear kabisa kuna watu wametumia lugha chafu sana ndani ya mitandao na wengi tu kupata ban...
Ni nani hao ambao waliongoza kwa lugha chafu zisizio na staha na kuharibu mada ya liyowekwa mezani kujadiliwa? ili mwaka 2018 wajirekebishe?
Ni nani hao ambao waliongoza kwa lugha chafu zisizio na staha na kuharibu mada ya liyowekwa mezani kujadiliwa? ili mwaka 2018 wajirekebishe?