Kama mimi, kwanza sikuamini ilibidi ni-restart upya kinotibuku changu then niingie upya jamvini, ndo nikakuta thread ipo CLOSED TOPIC
Mkuu kama alivyosema Gurudumu kwenye post yake juu, there are some people who are going through hell and a lot of cases are remained unreported, and therefore unaddressed wengine ni kutokana na kuona aibu kwasababu anaogopa kuonekana tofauti mbele ya jamii lakini watu kama FORGIVE wenye guts za kusema ni wachche sana unajua msaada wa kimawazo pia unasaidia, mtu ukificha jambo kama hilo bila kuongea na mtu inakuwa ni Psychological Torture.Kama mimi, kwanza sikuamini ilibidi ni-restart upya kinotibuku changu then niingie upya jamvini, ndo nikakuta thread ipo CLOSED TOPIC
Imeniuma sana mkuu, and sasa hivi hata mood yangu haiko kwenye kazi kabisa
Hivi hata mwanamke abakwe vp, huo ubakaji hauwezi ukasababisha apate madhara ya kusababisha aondolewe uwezo wa kuzaa ili apone?
Mkuu naomba usikilize huo wimbo zaidi ya mara mbili utaelewa vizuri ujumbe uliomo humo ndani, very touching song wenye ujumbe mzuri.[/QUOTE]The Following 2 Users Say Thank You to Kaizer For This Useful Post:
CPU (Today), The Finest (Today)
Aiseeee
Mkuu kama alivyosema Gurudumu kwenye post yake juu, there are some people who are going through hell and a lot of cases are remained unreported, and therefore unaddressed wengine ni kutokana na kuona aibu kwasababu anaogopa kuonekana tofauti mbele ya jamii lakini watu kama FORGIVE wenye guts za kusema ni wachche sana unajua msaada wa kimawazo pia unasaidia, mtu ukificha jambo kama hilo bila kuongea na mtu inakuwa ni Psychological Torture.
Yaani wameipotezea mazima hata kusearch siioni kabisa mkuu lakini asante kwa summary....dah
Pole sana mkuu, ila ungejua hata mimi kuporomosha maombi namna hiyo SIJAWAHI HATA SIKU MOJA, sio hapa jamvini tu kokote kule nilipowahi kuishi sijawahi. Nimekuwa tu na msimamo wangu wa upendo kwa watu na kutenda yaliyo mema tofauti na wengine ambapo anaweza kudhani mimi ni mlokole au mwana maombi mzuri sana, kumbe siko hivyo. Naamini ninaweza kufanya lolote nikiwa na imani, bila kujitambulisha kwa ulokole au vinginevyo. I believe and Trust in God, The Almighty
Mi nahisi ningekuwa nawajua angalau ni akina nani tu, ingetosha mimi kufanyanyia NITAKACHOWAFANYIA, hata kama anatembelea eskoti ya aina gani, ningesuka mpango mpaka ni . . . . . . . Aaaaaaaagrrrrrrrrrrrrrrrr
Kaka, MODS waliitoa ile thread baada ya kuanza kujisikia vibaya, kutokana na baadhi ya watu kuanza kumshutumu na kumshambulia kwa keyboard zao , ""eti kwanini alikubali kubakwa"" badala ya kumsaidia. SO binti akaomba Mods wamsaidie thread itolewe
Mkuu swali lako sijalielewa vizuri. Hata hivyo ngoja nijaribu kujibu nilivyoelewa. Kubakwa kwa mwanamke hakuna uhusiano na uwezo wake wa kuzaa kibayolojia. tatizo la uzazi linatokana na complications katika uzazi wenyewe.
kwa mfano ulivyonieleza kuhusu tatizo la FORGIVE ulisema alipata ujauzito ambao uliharibika. kuna mambo mengi sana hapa kutegemea na tatizo lililopelekea mimba yake kuharibika (haina uhusiano na ubakaji). Pengine mimba ilipoharibika alichelewa kupata huduma ya kusafisha kizazi hivyo kizazi kikadhurika. au kuharibika kwa mimba kulisababishwa na kupasuka kwa kizazi. Au alijaribu kutoa mimba na aliyemtoa alifanya makosa yaliyoharibu kizazi. Au aliwahi kusafishwa lakini kulitokea complication katika kusafisha kizazi hivyo tatizo likajitokeza.
kutegemea na eneo alililokuwa, ubora wa huduma zetu za afya na upatikanaji wa wataalamu wa afya linaweza kuwa lilikuza tatizo lake. Hebu fikiria mtu anayeishi Nkasi kule mwambao wa ziwa tanganyika halafu anapata complication kama hiyo. Usafiri shida lakini kujua aina na utete wa tatizo pia ni shida. hivyo kuchelewa kuhudumiwa au kuhudumia vibaya (case mismanagement)
kuna mambo scenario nyingi mno mkuu, ingependeza kama mhusika mwenyewe angesema nini hasa kilitokea.
Mkuu nilikosea kidogo ila nimei-edit,halafu sina uhakika kama sisi tuna hivi vitengoIngawa umemwadress CPU mkuu lakini hoja uliyoijibu ni yangu, nakubaliana na wewe. FORGIVE ameweza kusema kwa sababu hapa hatuwezi kumjua. Sidhani kama ukiwa naye live atakueleza, ndiyo maana hajaweza hata kumweleza mpenzi wake. Katika serikali makini huwa kuna vitengo vya kusaidia victims of abuse, na wataalamu wanaolipwa vizuri. This is one area our gov has failed us.
Mkuu nilikosea kidogo ila nimei-edit,halafu sina uhakika kama sisi tuna hivi vitengo
Mie hata sielewi nini kinaendelea hapa ,ingawa naona ni maskitiko tu jamani ,Jtatu mbaya
Mungu aangaze nuru yake na kufanya miujiza kwa huyu dada Forgive na aamini hakuna nguvu yoyote hapa duniani inayozidu nguvu na mamlaka ya mwenyezi mungu
Sweetheart kuwa na amani ,kwa kupigwa kwake sisi tumepona ,na pazia la hekalu lilipopasuka ,ilikuwa ishala ya kufungua mahusiano yaliyoko mbiguni na duniani
,
Wakuu Gurudumu, bitimkongwe, Janjaweed na wengine ambao hawafahamu
Ni kwamba (Nitaeleza kwa kifupi) huyu binti forgive (25yrs now) aliweka post yake hapa jamvini MMU akiomba apewe msaada ya kimawazo.
Alieleza kwamba aliwahi kubakwa mara mbili ktk kipindi cha miaka 7 iliyopita na watu wawili, mmoja akiwa ni mtu mwenye nyazifa kubwa na mzito kimadaraka (hakumtaja ni nani wala cheo chake). Baada ya kufanyiwa vitendo hivyo vichafu na vya kutisha na hao mashetani, alienda hospital na kugundulika ana mimba ambayo hata hivyo baadaye iligungulika imeharibika na then akapoteza kabisa na uwezo wa kushika mimba tena.
Baada ya matukio hayo akaja kupata kijana ambaye walipendana kwa dhati, akampa masharti ya kutofanya nae mapenzi kwa kuwa hakuwa sawa kiafya. Lakin kila wakiwa pamoja faragha kijana akianza kumpapasa binti, basi binti anaanza kukumbuka yote alivyofanyiwa huko nyuma na anaanza kutetemeka. Mpaka sasa anasema bado hajamwambia huyo kijana kuhusu maisha yake na wala hajaenda hospital kupima kama ameambukizwa virusi au la.
Sasa anauliza amwambie ukweli huyo kijana au la. Na akaomba msaada wowote wa kimawazo.
Wakuu wenzangu tuliosoma ule ujumbe wake, kama kuna sehemu nimekosea ktk maelezo haya tuwekane sawa
Mkuu swali lako sijalielewa vizuri. Hata hivyo ngoja nijaribu kujibu nilivyoelewa. Kubakwa kwa mwanamke hakuna uhusiano na uwezo wake wa kuzaa kibayolojia. tatizo la uzazi linatokana na complications katika uzazi wenyewe.
kwa mfano ulivyonieleza kuhusu tatizo la FORGIVE ulisema alipata ujauzito ambao uliharibika. kuna mambo mengi sana hapa kutegemea na tatizo lililopelekea mimba yake kuharibika (haina uhusiano na ubakaji). Pengine mimba ilipoharibika alichelewa kupata huduma ya kusafisha kizazi hivyo kizazi kikadhurika. au kuharibika kwa mimba kulisababishwa na kupasuka kwa kizazi. Au alijaribu kutoa mimba na aliyemtoa alifanya makosa yaliyoharibu kizazi. Au aliwahi kusafishwa lakini kulitokea complication katika kusafisha kizazi hivyo tatizo likajitokeza.
kutegemea na eneo alililokuwa, ubora wa huduma zetu za afya na upatikanaji wa wataalamu wa afya linaweza kuwa lilikuza tatizo lake. Hebu fikiria mtu anayeishi Nkasi kule mwambao wa ziwa tanganyika halafu anapata complication kama hiyo. Usafiri shida lakini kujua aina na utete wa tatizo pia ni shida. hivyo kuchelewa kuhudumiwa au kuhudumia vibaya (case mismanagement)
kuna mambo scenario nyingi mno mkuu, ingependeza kama mhusika mwenyewe angesema nini hasa kilitokea.