Kwa mwana JF mwenzetu FORGIVE na wengine wenye matatizo kama yake

Kwa mwana JF mwenzetu FORGIVE na wengine wenye matatizo kama yake

Tatizo lilikuwa uvimbe tu kwenye kizazi,nilikuwa napata maumivu wakati wote wa kukua kwa mtoto,sema sikuwa nakwenda kliniki kwa kuogopa kupimwa,nilipozidiwa na kuanza kutoka damu ndipo nilipoenda,wakasema ujauzito ulikuwa umeharibika muda tu na maumivu ni kwasababu ya uvimbe.baada ya kukatoa katoto nikakaa kama wiki tatu,kuongeza damu,wiki ya nne wakatoa huo uvimbe na kunisafisha.hawakuniambia kuwa sitazaa tena nami nina imani nitaweza,kaka CPU amefikiri hivyo kwa kuwa baadhi ya waliokuwa na tatizo kama langu hushauriwa kutoa kizazi kabisa au kupoteza ule uwezo wa kuzaa.

Afadhali umekuja dada, na uendelee kuwa na imani hiyo kwa msaada wa roho mtakatifu. Bila shaka unajiandaa ukapime afya hospital
 
Ingawa umemwadress CPU mkuu lakini hoja uliyoijibu ni yangu, nakubaliana na wewe. FORGIVE ameweza kusema kwa sababu hapa hatuwezi kumjua. Sidhani kama ukiwa naye live atakueleza, ndiyo maana hajaweza hata kumweleza mpenzi wake. Katika serikali makini huwa kuna vitengo vya kusaidia victims of abuse, na wataalamu wanaolipwa vizuri. This is one area our gov has failed us.

ni kweli singeweza kutokana na vitisho na hata kwa familia hawataki sifa ya kuwa na binti aliyewahi kubakwa.zaidi hasa kwa kesi ya kwanza sikupata akili ya kwenda polisi,nilienda tu nyumbani sikutoka kwa siku tatu na nilipomueleza ndugu kitu cha kwanza alienda nichukulia dawa ya kuogea kutoka kwa mganga nitoa mkosi.ni mama yangu aliosema,si wajibu wetu kulipiza,muachie Mungu,na baada ya muda nikasamehe.
 
Napenda sana nikushukuru cpu na wana jamiiforum wengine kwa upendo huu mkubwa.nitaenda pima na nitarudi kutoa ushuhuda vyovyote itakavyokuwa.nimepata nguvu kubwa sana juzi na jana na leo.mungu awabariki.tukumbuke pia kuwaombea wale wanaofanyiwa hivi,sipo peke yangu ninawafahamu wengine.na ipo siku mungu akinijalia nitaanza kituo kwa ajili ya kuwasaidia kimwili na kisaikolojia wanaopita nikakopita,wawe washindi kama mimi.nafurahi naweza hata kujitunza,wale walio nchi za vita je?wanaobakwa na wanajeshi au wengine na maisha yao magumu?tuwaombee pia.kuna mtu aliuliza katika kuchangia,kwamba ningeweza kupata ukimwi bila hata kubakwa,kweli inawezekana,ila mimi nilieleza tu ili nishauriwe kwa hali zote mbili.naomba niishie hapa kwa leo.
 
Napenda sana nikushukuru cpu na wana jamiiforum wengine kwa upendo huu mkubwa.nitaenda pima na nitarudi kutoa ushuhuda vyovyote itakavyokuwa.nimepata nguvu kubwa sana juzi na jana na leo.mungu awabariki.tukumbuke pia kuwaombea wale wanaofanyiwa hivi,sipo peke yangu ninawafahamu wengine.na ipo siku mungu akinijalia nitaanza kituo kwa ajili ya kuwasaidia kimwili na kisaikolojia wanaopita nikakopita,wawe washindi kama mimi.nafurahi naweza hata kujitunza,wale walio nchi za vita je?wanaobakwa na wanajeshi au wengine na maisha yao magumu?tuwaombee pia.kuna mtu aliuliza katika kuchangia,kwamba ningeweza kupata ukimwi bila hata kubakwa,kweli inawezekana,ila mimi nilieleza tu ili nishauriwe kwa hali zote mbili.naomba niishie hapa kwa leo.


Ameeeeni!!!
The victory is yours in the name of Jesus!!!!!!
 
Napenda sana nikushukuru cpu na wana jamiiforum wengine kwa upendo huu mkubwa.nitaenda pima na nitarudi kutoa ushuhuda vyovyote itakavyokuwa.nimepata nguvu kubwa sana juzi na jana na leo.mungu awabariki.tukumbuke pia kuwaombea wale wanaofanyiwa hivi,sipo peke yangu ninawafahamu wengine.na ipo siku mungu akinijalia nitaanza kituo kwa ajili ya kuwasaidia kimwili na kisaikolojia wanaopita nikakopita,wawe washindi kama mimi.nafurahi naweza hata kujitunza,wale walio nchi za vita je?wanaobakwa na wanajeshi au wengine na maisha yao magumu?tuwaombee pia.kuna mtu aliuliza katika kuchangia,kwamba ningeweza kupata ukimwi bila hata kubakwa,kweli inawezekana,ila mimi nilieleza tu ili nishauriwe kwa hali zote mbili.naomba niishie hapa kwa leo.

What a HEART TOUCHING MESSAGE . . ..
The Following 4 Users Say Thank You to forgive For This Useful Post:

CPU (Today), Keren_Happuch (Today), LD (Today), muhosni (Today)​
 
Napenda tu mjue kwamba nimepita hapa na nimesikitishwa sana na hii kadhia

Dada yangu FORGIVE, nikupe pole sana na kukushukuru kwa ujasiri wako

CPU, kweli umekuwa central processing, keep it up!
 
Napenda tu mjue kwamba nimepita hapa na nimesikitishwa sana na hii kadhia

Dada yangu FORGIVE, nikupe pole sana na kukushukuru kwa ujasiri wako

CPU, kweli umekuwa central processing, keep it up!

yES kOMRADE

les give for others, Almighty God will give us back
 
Amen, naongeza na ZABURI ya 121. Nitayainua macho yangu nitazame milima msaada wangu utatoka wapi?Msaada wangu ni katika bwana aliyeziumba mbingu na nchi.........
 
Amen, naongeza na ZABURI ya 121. Nitayainua macho yangu nitazame milima msaada wangu utatoka wapi?Msaada wangu ni katika bwana aliyeziumba mbingu na nchi.........

thumbs_up_large.png
 
Hapo kwenye red mkuu, unaweza kunisaidia kizazi kinapasuka kwa sababu zipi?
Hapo kwenye black bibie alisema hajawahi kutoa mimba, pamoja na kwamba alikuwa na wazo hilo alipogundua ana mimba (hiyo iliyo haribika) lakin mama ake alimwambia asiitoe kwani Mungu hapendi, na watalea mtoto

SIPIYU ndugu yangu, tuishie hapo kwa sababu kwa sababu kuna watu ambao wanaweza kuwa walipata experiences fulani fulani na wakaunganisha na maelezo yangu wakapatwa na hofu kwamba wana tatizo la kizazi. Pia nimechoka sana ndo natoka ofisini. Nashukuru Forgive hakupata Hilo tatizo. Kesho brother, nitawapene taarifa za kesi yetu dhidi ya Dowans
 
Napenda sana nikushukuru cpu na wana jamiiforum wengine kwa upendo huu mkubwa.nitaenda pima na nitarudi kutoa ushuhuda vyovyote itakavyokuwa.nimepata nguvu kubwa sana juzi na jana na leo.mungu awabariki.tukumbuke pia kuwaombea wale wanaofanyiwa hivi,sipo peke yangu ninawafahamu wengine.na ipo siku mungu akinijalia nitaanza kituo kwa ajili ya kuwasaidia kimwili na kisaikolojia wanaopita nikakopita,wawe washindi kama mimi.nafurahi naweza hata kujitunza,wale walio nchi za vita je?wanaobakwa na wanajeshi au wengine na maisha yao magumu?tuwaombee pia.kuna mtu aliuliza katika kuchangia,kwamba ningeweza kupata ukimwi bila hata kubakwa,kweli inawezekana,ila mimi nilieleza tu ili nishauriwe kwa hali zote mbili.naomba niishie hapa kwa leo.

Ubarikiwe mpendwa na ahsante sana CPU kwa maombi yako mungu ni mkubwa na amini atatenda miujiza kwa binti huyu na wanajf wote wenye matatizo. Thread ya forgive ilinifanya nisahau kila kitu nikawa namwaza yeye siku zote hz, nikasema kumbe binadamu unaweza kujiona una matatizo kumbe wako wenye nayo makubwa zaidi. Naamini Bwana ataendelea kutenda miujiza yake. THANX
 
SIPIYU ndugu yangu, tuishie hapo kwa sababu kwa sababu kuna watu ambao wanaweza kuwa walipata experiences fulani fulani na wakaunganisha na maelezo yangu wakapatwa na hofu kwamba wana tatizo la kizazi. Pia nimechoka sana ndo natoka ofisini. Nashukuru Forgive hakupata Hilo tatizo. Kesho brother, nitawapene taarifa za kesi yetu dhidi ya Dowans

Ahsante mkuu,
Nakutakia usiku wenye amani
 
OMG,"If you cannot be a pencil to write anyone's happiness then you should at least try to be a nice rubber to erase someone's sadness" Hope wote wako vizuri by now
 
Back
Top Bottom