new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 817
- 1,687
Hybrid zipo nyingi mkuu, kuna rav4, kuna harrier, crown, aqua,prius v, kuna alphad, kuna generation nyingi tu za Prius, kuna Fielder, kiufupi kuna hybrid nyingi za Toyota na car makers wengine..so kama issue ni muonekano upo na options nyingi mkuu za kuchagua.. but duniani Toyota nadhan ndo walianza kutengeneza gari za hybrid na Prius ndo hybrid ya kwanza.. hizi tulizonazo ni kuanzia generation 2 generation 1 haijulikani sana kama gen 2..
Acha uvivu.....hujui kutumia google?Picha bila uzi?
tupo wengi sana siti ya mbele,kwani ni dhambi?Hivi Kuna watu wananunua gari kwa ajili ya fuel consumption nzuri
tatizo ni kadogo mno hata ukipishana na semi anaweza kukutoa nje ya road. mi na babywalker hata zitumie maji haya ya kunywa sitakuja kuvutika na upepo wake hataAqua anaweza kukupa km 35 kwa lita 1. Toyota ist anaweza kukupa km 18 kama kajitahidi sana.
Aqua ni hybrid inatumia umeme mwingi. Toyota ist sio hybrid.
Miaka mingi sana ist alitawala soko akiwa kama central attacker huku vitz akitokea pembezoni mwa uwanja kama winga.
Kutokana na mabadiliko ya kiuchumi pamoja na teknolojia ya magari namuona ist akipoteza nafasi yake na kuchukulia rasmi na Aqua.
One grave mistake ni kwamba bei sasa zinaanza kurandana rasmi kwenye 18m na kupanda juu kidogo.
Kumbukumbu zinaonyesha kwamba DSM sweetheart (Nissan Dualis) alianza harakati tangu zamani kidogo ku take over soko la 'sweetiest' lakini bahati mbaya alikutana na figisu vikali sana toka kwa mafundi wa kibongo; kidogo akapoteza mwelekeo.
Lakini, muda haugandi now Dualis kasimama rasmi soko na anaupiga mwingi vibaya sana.
Wale wawekezaji wa magari madogo take care this is a piece of shit in the market
Keep watching!
Prius ina weight ya 1500kg..na ipo chini na pana so ipo very stable barabarani even at higher speed...na kwakua ina low drag coefficient kutokana na design ya body upepo sio shida kwa gari hii kwakua ina low wind resistance my friend...so hata ukipisha na semi usiwaze.tatizo ni kadogo mno hata ukipishana na semi anaweza kukutoa nje ya road. mi na babywalker hata zitumie maji haya ya kunywa sitakuja kuvutika na upepo wake hata
Prius ni gari gani mbona siifahamu naomba pc yake niitafteMie natumia prius..napata km 30+ kwa City driving (yaan stop and go traffic ndo hybrid system ina enjoy) but high way driving km per litter inapungua kidogo kwakua engine inakua on muda mwingi unless utembee speed 60km kushuka chini..but still ni good numbers za matumizi ya mafuta maana hizi number huzipati kwa ist wala vitz su passo..
Aqua ni ipi mkuu naomba kuona pc yake?ili na mimi niitafteAqua anaweza kukupa km 35 kwa lita 1. Toyota ist anaweza kukupa km 18 kama kajitahidi sana.
Aqua ni hybrid inatumia umeme mwingi. Toyota ist sio hybrid.
Miaka mingi sana ist alitawala soko akiwa kama central attacker huku vitz akitokea pembezoni mwa uwanja kama winga.
Kutokana na mabadiliko ya kiuchumi pamoja na teknolojia ya magari namuona ist akipoteza nafasi yake na kuchukulia rasmi na Aqua.
One grave mistake ni kwamba bei sasa zinaanza kurandana rasmi kwenye 18m na kupanda juu kidogo.
Kumbukumbu zinaonyesha kwamba DSM sweetheart (Nissan Dualis) alianza harakati tangu zamani kidogo ku take over soko la 'sweetiest' lakini bahati mbaya alikutana na figisu vikali sana toka kwa mafundi wa kibongo; kidogo akapoteza mwelekeo.
Lakini, muda haugandi now Dualis kasimama rasmi soko na anaupiga mwingi vibaya sana.
Wale wawekezaji wa magari madogo take care this is a piece of shit in the market
Keep watching!
Mie nina vitz pia,,, vitz old au new inayokuja na engine ya 2sz (yenye cc 1298) na gearbox ya cvt ipo very efficient kuliko IST, ipo fast acceleration kuliko ist hata baadhi ya gari kubwa zenye traditional automatic gear box, ina electric steering wheel ambayo ipo very direct, light na responsive kuliko IST, vitz inayokuja na engine hii hasa old ina boot space kubwa na adjustable (yaan kiti cha nyuma kinasogea mbele na kurudi nyuma na pia viti vina lala tofauti na ist ambayo vitz vyake vina lala tu ili kuadjust boot/trunk size..Ki bongo bongo ni kama unafananisha hv
Aqua - vitz na Prius - ist
Hii hapaPrius ni gari gani mbona siifahamu naomba pc yake niitafte
Haya uliyoongea ni kweli kabisaa, mimi pia niko nayo, nikiweka sport gear, inawahi kuchanganya na inakimbia kweli sema mafuta yanaenda mengi.Mie nina vitz pia,,, vitz old au new inayokuja na engine ya 2sz (yenye cc 1298) na gearbox ya cvt ipo very efficient kuliko IST, ipo fast acceleration kuliko ist hata baadhi ya gari kubwa zenye traditional automatic gear box, ina electric steering wheel ambayo ipo very direct, light na responsive kuliko IST, vitz inayokuja na engine hii hasa old ina boot space kubwa na adjustable (yaan kiti cha nyuma kinasogea mbele na kurudi nyuma na pia viti vina lala tofauti na ist ambayo vitz vyake vina lala tu ili kuadjust boot/trunk size..
Vitz hii old yenye 2sz engine it has very proper climate control system ambayo ni self regulating kulingana na temperature...so kwa watu wanaopenda air conditioning system ambayo iko beyond normal (yaan climate control system kama mie vitz hii kwangu ni option ndo maana i went for before buying Prius that has same feature kwenye climate control)
Vitz hii ipo na spot button ambayo kwa wapenda mbio hii ni useful feature ambayo huwezi pata kwa ist...
Engine ya vitz 2sz ina higher compression ratio compared to 2nz engine hivo power delivery ya engine 2sz ipo ya haraka at low rpm compared to 2nz engine...so hata vitz inayokuja na engine ya 2nz nayo inakosa baadhi ya features nziri zinazotokana kwenye same car but with different power train ( engine na gear box)
Nacho taka address hapa ni kwamba buying car goes beyond just buying tu, people should know what they want and how the car to be purchased will meet their needs. Epuka nunua gari kwa mihemko au fashion..know what you are buying (ingawa this is not a case kwa Tanzania, buying behavior zetu tunazijua wenyewe)
Ungeweka pichaAqua anaweza kukupa km 35 kwa lita 1. Toyota ist anaweza kukupa km 18 kama kajitahidi sana.
Aqua ni hybrid inatumia umeme mwingi. Toyota ist sio hybrid.
Miaka mingi sana ist alitawala soko akiwa kama central attacker huku vitz akitokea pembezoni mwa uwanja kama winga.
Kutokana na mabadiliko ya kiuchumi pamoja na teknolojia ya magari namuona ist akipoteza nafasi yake na kuchukulia rasmi na Aqua.
One grave mistake ni kwamba bei sasa zinaanza kurandana rasmi kwenye 18m na kupanda juu kidogo.
Kumbukumbu zinaonyesha kwamba DSM sweetheart (Nissan Dualis) alianza harakati tangu zamani kidogo ku take over soko la 'sweetiest' lakini bahati mbaya alikutana na figisu vikali sana toka kwa mafundi wa kibongo; kidogo akapoteza mwelekeo.
Lakini, muda haugandi now Dualis kasimama rasmi soko na anaupiga mwingi vibaya sana.
Wale wawekezaji wa magari madogo take care this is a piece of shit in the market
Keep watching!
Ist anapigwa vita vikali sana lakini bado anapambana na anatusua,kwa gari zenye ukubwa wa Engine size kuanzia CC 1700 kurudi chini hakuna wa kumuangusha ili uamini hilo ninalo kuambia,paki sehemu ambazo kuna wizi paki hiyo AQUA, RUMION,ALLEX/RUNX,PREMIO,VITS,PASSO,SIENTA,RACTIS kisha muweke na huyo mwamba IST,kuna zaidi ya 70% IST huwezi kuikuta lazima wahuni wailambe,IST ana vumilia kila aina ya shida ya maisha ya Mtanzania na IST ukisema usiipe shida yani iwe IST mayai aaaaaah utaipenda,now kwa madalali no D ile ya mwanzo nyingi sana si chini ya Millioni 10,nna kamoja nilikachukua toka 2020 mpaka sasa sijawahi vua vikolokolo vya miguu zaidi ya TYRE na break pad,naingia nayo popote ila ningekuwa na hayo ma broira mengine ningelia sana tena sana.Aqua anaweza kukupa km 35 kwa lita 1. Toyota ist anaweza kukupa km 18 kama kajitahidi sana.
Aqua ni hybrid inatumia umeme mwingi. Toyota ist sio hybrid.
Miaka mingi sana ist alitawala soko akiwa kama central attacker huku vitz akitokea pembezoni mwa uwanja kama winga.
Kutokana na mabadiliko ya kiuchumi pamoja na teknolojia ya magari namuona ist akipoteza nafasi yake na kuchukulia rasmi na Aqua.
One grave mistake ni kwamba bei sasa zinaanza kurandana rasmi kwenye 18m na kupanda juu kidogo.
Kumbukumbu zinaonyesha kwamba DSM sweetheart (Nissan Dualis) alianza harakati tangu zamani kidogo ku take over soko la 'sweetiest' lakini bahati mbaya alikutana na figisu vikali sana toka kwa mafundi wa kibongo; kidogo akapoteza mwelekeo.
Lakini, muda haugandi now Dualis kasimama rasmi soko na anaupiga mwingi vibaya sana.
Wale wawekezaji wa magari madogo take care this is a piece of shit in the market
Keep watching!
Mkuu nakuomba inboxMie natumia prius..napata km 30+ kwa City driving (yaan stop and go traffic ndo hybrid system ina enjoy) but high way driving km per litter inapungua kidogo kwakua engine inakua on muda mwingi unless utembee speed 60km kushuka chini..but still ni good numbers za matumizi ya mafuta maana hizi number huzipati kwa ist wala vitz su passo..