Kwa mwendo huu simba tutafika kweli?

Kwa mwendo huu simba tutafika kweli?

Poa, ila wasi wasi ndiyo akili
 
Hii si post Ya Mshabiki/Mwanachama/Mpenzi Wa Simba! Wala si Post Ya Mtu Anaejua Mpira.....
Ni Post Ya YeboYebo Aliyekuja Kwa Style Nyengine tu.....
Achana na Simba! Unaeishiwa Pumzi Ni Wewe 4G FC na Wala Sio Simba imara inayosubiri Kusherehekea Ubingwa......
 
Hii si post Ya Mshabiki/Mwanachama/Mpenzi Wa Simba! Wala si Post Ya Mtu Anaejua Mpira.....
Ni Post Ya YeboYebo Aliyekuja Kwa Style Nyengine tu.....
Achana na Simba! Unaeishiwa Pumzi Ni Wewe 4G FC na Wala Sio Simba imara inayosubiri Kusherehekea Ubingwa......
mmeanza kukanana mapema hivi?angalia msijeng'oana meno huko mbeleni.
 
be5cf79d320a426544d605d71652030d.jpg
 
Simba tualinza vzr lakn mwishoni mwa raundi ya kwanza tukaanza kuharibu.
Ile kasi ya mwanzo sasa sioni tena.

Kwenye kombe la mapinduzi tualianza vizuri lkn baadae tukaanza kuchechemea.

Niseme kweli hata kumtoa yanga tulibahatisha tu.

Tumeingia fainali tumeambulia kipigo toka kwa azam.

Tumecheza ligi kuu na mtibwa tumeishia kutoa draw.

Kwanini tunapoteza pumvi hivi?
Kama shabiki na mpenzi wa mnyama naomba kujuzwa tatizo liko wapi?

Tatizo ni kwamba Okwi kwa sasa hayupo kikosini. Ila tusubiri anakuja. Okwi ndio muarobaini wa matatizo yote Simba!!!
 
Simba tualinza vzr lakn mwishoni mwa raundi ya kwanza tukaanza kuharibu.
Ile kasi ya mwanzo sasa sioni tena.

Kwenye kombe la mapinduzi tualianza vizuri lkn baadae tukaanza kuchechemea.

Niseme kweli hata kumtoa yanga tulibahatisha tu.

Tumeingia fainali tumeambulia kipigo toka kwa azam.

Tumecheza ligi kuu na mtibwa tumeishia kutoa draw.

Kwanini tunapoteza pumvi hivi?
Kama shabiki na mpenzi wa mnyama naomba kujuzwa tatizo liko wapi?
Muulize kichuya

Picha ipi mnaipata kwa katibu patrick kihemela kurudi azam kabla ya mechi ya simba mbovu vs azam!!!!!

inawezekana kihemela baada ya kwenda azam akamuambia John boco ukitakaka kufunga bao pitia kwa mwanjali.

Ahhhhaaaaa
 
Simba amebakiza mechi 1 tu ngumu lakini Yanga amebakiza mechi 3 ngumu, kwa mahesabu ya haraka simba bingwa.
 
Back
Top Bottom